mjanja wa kijiji
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 1,469
- 4,081
tarehe 24 nilisahau kama ni siku ya kupiga kura, nikashangaa matokeo yanatangazwa pamoja na kura yangu.
Heee Hayo Ni Makosa Ya Kiuandishi Tu.Wapinzani Mbona mnavurugu sana
Kuna mkoa unaitwa Yanga?