karibu sana, na kama ni wa kambi ya upinzani(ccm) , rudi kundini jaa vazi la kazi(la chadema) chama tawala
nawasalimuni; imebidi niache ubishi nijiunge; matokeo haya hayafai kusubiri.
Chama Cha Majambazi wanaogopa kuwa wapinzani khe khe khe wawaulize wenzao wanaposhindwa hukubali matokeo. Wapi matokeo au wanagonja kupikwa? Walipa kodi wa nchi hii hawadanganyiki tena.
naitaji matokeo ya Jimbo la Ubungo,Kawe na iringa mjini final.pia kuna tetesi kuwa mbowe jimbo la hai ameangushwa.je kweli?nawasalimuni; imebidi niache ubishi nijiunge; matokeo haya hayafai kusubiri.