Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 888
Kithuku, usichoke! I really feel your frustration!
HIyo ya taaluma ya ualimu kudharauliwa kinaniuma hata mimi! Siku hizi kuwa mwalimu ni sawa na kuwa failure in life!
Alafu tunashangaa shule za private ku-import walimu kutoka Kenya na nchi zingine hata India!
HIyo ya taaluma ya ualimu kudharauliwa kinaniuma hata mimi! Siku hizi kuwa mwalimu ni sawa na kuwa failure in life!
Alafu tunashangaa shule za private ku-import walimu kutoka Kenya na nchi zingine hata India!