SAME hiyo lakini sishangai wamelidhika na umasikini wao, wanaona umasikini ni sehemu ya maisha yao. Mtu anayeipigia kura CCM ina maana amelidhika na alichonacho. Kama ni masikini anasema sawa Mungu kaniumba niwe masikini na kama ni tajiri anajua anavyopata pesa yake kwa udhaifu wa CCM au njia halali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.