zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,039
- 28,685
Duh haya matokeo mpaka leo yananiacha hoi Yaani NEC bhana majimbo 80% ambayo yametoa wabunge wa upinzani alishinda magufuli kwenye urais!!! Duh kuna maswali yanakosa majibu kabisa
Unacheza na Lubuva mkuu!!Duh haya matokeo mpaka leo yananiacha hoi Yaani NEC bhana majimbo 80% ambayo yametoa wabunge wa upinzani alishinda magufuli kwenye urais!!! Duh kuna maswali yanakosa majibu kabisa
Udwazi umewajaa watawala na si viongoziDuh.....
Aliiba na ndo maana mkwera alipomfuata Ikulu alimchama kwamba fedha anaholalamikia hajaikuta ndo ilimfanya awe pale mjengoniKatika matokeo ya Tume, Mh. Rais Magufuli alipata kura 58.46% na Lowassa kura 39.97%, wewe unaweza kutoa tafsiri gani?
Tanzaniarevolution 26/04/2018Aliiba na ndo maana mkwera alipomfuata Ikulu alimchama kwamba fedha anaholalamikia hajaikuta ndo ilimfanya awe pale mjengoni
Bila wizi wa hii tume kwa kushirikiana na ccm na police basi leo ungekuta ccm inaitwa chama cha upinzani
Unayakumbuka Maneno Haya we mkata viunoHuko mnakoelekea sasa SIKO, kweli tangu jana.ni majimbo MATATU tuuu, noooo ma wasi wasii, kwa nn maitre matokeo kwa muda mnapindishapindisha ulionao hivi ni dalili mbaya na mnawapa hasira wananchi, amani ya Tanzania Iko mikononi mwenu msituharibie amani tumefanya uchaguzi wetu kwa amani na.tunaomba matokeo kwa amani kama tulivyozipiga msitupindishie habari.watanzania TUNATAKA amani yetu bado tunaihitaji saaana, tunaomba msiwe chanzo cha vurugu ya Tanzania, pepo ibilisi lililoingia NDANI ya nec tumalikemea kwan linataka KUTULETEA shidaaa watanzania