Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,243
Teh teh teh upepo unaanza kubadilika wingi wa watu kwenye mikutano sio wingi wa watu kukupigia kura!
Kwani ulitegemea ngome za CCM kama hizo matokeo yangekuwa tofauti na hayo? That is Zanzibar, usisahau kuna ngome kuu mbili Unguja na Pemba...... Ngoja upande wa pili zamu ya matokeo ifike.... Mark my words