Matokeo makubwa kwa wakulima wa nyanya Tanzania

Dawa za kuzuia wadudu zinazotumika.... Zina madhara gani kwa sisi watumiaji?? Interval ya kupuliza dawa na kuvuna ikoje??
Dawa nyingi zinazotumiwa katika shughuli za kilimo nchini ni lazima zithibitishwe na taasisi ya utafiti wa viuatilifu(TPRI) iliyopo Arusha.
Kwa ufupi ni kwamba kila kitu kikizidi au kutumiwa vibaya kina madhara, label ya dawa ni lazima iwe na maelezo sahihi na ya kutosha ili kuepuka madhara si kwa mtumiaji wa mwisho pekee bali na kwa mkulima mwenyewe anayehusika na upuliziaji wa viuatilifu hivyo.
Tatizo kubwa ambalo binafsi nalishuhudia kila siku ni kwamba wakulima wengi kwa kutokujua hawazingatii matumizi sahihi ya viuatilifu. Mambo ya ku-overdose(hasa dawa inapogoma kutibu mimea), kutovaa mavazi ya kujikinga, kutozingatia muda wa kupuliza dawa na kuingia shambani au kuchuma n.k, ni kawaida sana mashambani na hasa kwa mazao ya mboga mboga.
 
UBORA WA MBEGU YAKO NDIO UNAAMUA UBORA WA MAVUNO YAKO

MBEGU YA TO 135 F1
Sifa Kuu
1. Ina matunda Makubwa na Magumu.
2. Inazaa Sana....Hadi kg 10 kwa mmea mmoja ikitunzwa vizuri
3. Inastahimili ugonjwa wa mnyauko wa Bacteria (Bacterial Wilt resistance)
4. Inastahimili ungojwa wa virus usababishwao na inzi weupe....pia hujulikana Kama Rasta au Kitaalamu unaitwa Tomato Yellow Leaf Curl Virus-TYLCV
5. Inastahimili ugonjwa wa mnyauko mcheleo, Late Blight

Na Bei yake ni Nafuu Sana. Kwa Mkulima gramu 10 ni TZS 60,000. Ekari moja inatakiwa Gram 50. Kwa order wasiliana na Bwanashamba Selerine 0765359880

Hii nyanya ikitunza vizuri kwa hekari moja unapata mpaka tenga 800+

Space mche na mche sentiment 45 na line na line sentimita 100

Kusia kwenye kitalu siku 21 inakuwa tayari kuhamishia shambani na baada ya hapo siku 60-65 unaanza kuvuna

Inatoa michumo 10+

View attachment 1312850View attachment 1312851View attachment 1312852View attachment 1312853View attachment 1312854View attachment 1312855View attachment 1312856View attachment 1312859

Sent using Jamii Forums mobile app
vp unaonaje mkuu ukianzish group la whatsap tuendelee kujifunz zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naombeni kujua ni booster gani ya matunda nu nzuri, nyanya yangu imefikia hatua hii, pia naomba kujua dawa nzuri ya kuua wadudu wa kantangaze
 

Attachments

  • Screenshot_20220918-193359_1.jpg
    Screenshot_20220918-193359_1.jpg
    57.3 KB · Views: 30
Back
Top Bottom