Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Chama cha CUF kinaongoza Lindi mjini mgombea wa CUF ni melemavu wa ngozi na wa CCM ni Abdulazizi amabaye ni mkuu wa mkoa wa Lindi pia, matokeo ya udiwani CUF kata 5 CCM kata 8, bado kata 5