eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Wakuu nilitegemea kuuona mkoa wa Dar kwenye kumi bora ya mikoa iliyofanya vizuri kwenye mitihani ya kidato cha nne hasa sifa ninazozisikia za mkuu wao wa mkoa almaarufu kama bashite kuwa ameanza kulivalia njuga swala la elimu.
Lakini imenistua hata kumi bora sijauona huo mkoa ambao mkuu wake ni rafiki mkubwa wa rais wa nchi.
Nini kinaendelea huko Dar jamani
Lakini imenistua hata kumi bora sijauona huo mkoa ambao mkuu wake ni rafiki mkubwa wa rais wa nchi.
Nini kinaendelea huko Dar jamani