LUSAJO L.M.
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 270
- 126
KATA YA KINYEREZI:
Kata ya Kinyerezi vituo vya shule ya msingi Kinyerezi na Ofisa Mtendaji matokeo ni kama ifuatavyo Kikwete (363), Dk. Slaa (348), Profesa Lipumba (56). Kwa upande wa Ubunge, Makongoro Mahanga wa CCM (198), Fred Mpendazoe wa CHADEMA (211), Tahir Kihiyo wa CUF (45). Tabata shule matokeo ya awali kura za urais ni kama ifuatavyo APPT (1), CCM (62), CHADEMA ( 73) na CUF (5). Matokeo ya ubunge CCM (65), CHADEMA (72), CUF (12). Kituo cha Magereza Segerea kura za urais CCM (74), CHADEMA (70) na CUF (5). Matokeo ya ubunge kwa kituo cha Magereza Segerea ni CCM (56), CHADEMA (78), CUF (13), APPT (1) na UDP (1).
Kata ya Kinyerezi vituo vya shule ya msingi Kinyerezi na Ofisa Mtendaji matokeo ni kama ifuatavyo Kikwete (363), Dk. Slaa (348), Profesa Lipumba (56). Kwa upande wa Ubunge, Makongoro Mahanga wa CCM (198), Fred Mpendazoe wa CHADEMA (211), Tahir Kihiyo wa CUF (45). Tabata shule matokeo ya awali kura za urais ni kama ifuatavyo APPT (1), CCM (62), CHADEMA ( 73) na CUF (5). Matokeo ya ubunge CCM (65), CHADEMA (72), CUF (12). Kituo cha Magereza Segerea kura za urais CCM (74), CHADEMA (70) na CUF (5). Matokeo ya ubunge kwa kituo cha Magereza Segerea ni CCM (56), CHADEMA (78), CUF (13), APPT (1) na UDP (1).