Wengi kama tulivyosikia matokeo ya Darasa la saba yametoka.Kati ya waliofanya laki 8 ni laki 4 wamefaulu,kati ya waliofaulu pia watachaguliwa wachache kujiunga kidato cha kwanza.Waziri ajibu hao laki nne hawakufaulu waende wapi?Ajibu hili swali kiufasa zaidi bila kuweka siasa