kantalambaz
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 1,881
- 872
Habari ya asbuhi wana jukwaa na wadau wote.
Naomba tuelimishane kuhusu tofali za ujenzi za cement manake hua naona kuna tofali za urefu, upana na unene tofauti tunapokua tunajenga nyumba zetu ziwe ni za makazi, biashara au makazi na biashara:-
1. Kuna tofali za nchi sita hizi wajenzi wengi huzitimia kwenye kujengea msingi.
SWALI langu, je hizi tofali ni kwa ajili ya kujengea msingi tu pale unapokua unajenga nyumba?
2. Kuna tofali za nchi tano hizi tofali hutumika sana kwenye ujenzi wa kuta za nje na ndani
SWALI langu, hizi tofali ni kwa ajili ya matumizi hayo na ni matumizi sahihi?
3. Inawezekana kujengea nyumba tofali za nchi tano peke yake?(kwa maana ya msingi, kuta za nje na ndani)
athari za kutumia hizo (tofali 5")ni zipi kigharama na kiubora katika ujenzi?
Karibuni wataalam mtupe hiyo elimu.
Naomba tuelimishane kuhusu tofali za ujenzi za cement manake hua naona kuna tofali za urefu, upana na unene tofauti tunapokua tunajenga nyumba zetu ziwe ni za makazi, biashara au makazi na biashara:-
1. Kuna tofali za nchi sita hizi wajenzi wengi huzitimia kwenye kujengea msingi.
SWALI langu, je hizi tofali ni kwa ajili ya kujengea msingi tu pale unapokua unajenga nyumba?
2. Kuna tofali za nchi tano hizi tofali hutumika sana kwenye ujenzi wa kuta za nje na ndani
SWALI langu, hizi tofali ni kwa ajili ya matumizi hayo na ni matumizi sahihi?
3. Inawezekana kujengea nyumba tofali za nchi tano peke yake?(kwa maana ya msingi, kuta za nje na ndani)
athari za kutumia hizo (tofali 5")ni zipi kigharama na kiubora katika ujenzi?
Karibuni wataalam mtupe hiyo elimu.