Matiti ni mali ya nani?

mchakachuaji192

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
367
68
Linapokuja suala la matiti wanaume wengi (si wote) hunyang'anyana hati miliki ya matiti na watoto wanaonyonya hata hivyo wanawake nao kila mmoja ana mtazamo wake tofauti,, nimekuwa nikipata na kigugumizi cha mawazo kuwa nani hasa anaestahili kuwa mmiliki wa matiti, kuna mdada nilimuuliza jibu lake lilikuwa hivi "Mume wangu ndiye anamiliki matiti yangu kwa sababu mume alikuja kabla ya mtoto. Baada ya mtoto kunyonya kwa muda inakuwa zamu ya mume wangu kwani tunalala kitanda kimoja. Mtoto wangu ana access ya matiti yangu kwa muda tu wakati mume wangu ni mali yake maisha yetu yote. Matiti yangu ni kitu ambacho mume wangu huchezea na pia ni mto wake wa kulalia. Ukweli ni kwamba mume wangu hujisikia wivu kama mtoto wangu ataendelea kunyonya zaid ya muda aliopewa. Linapokuja suala la matiti yangu mume wangu huwa anachanganyikiwa, hawezi kufanya ile kitu (sex) bila matiti yangu"


Je, wewe kama ni mwanamke matiti yako ni mali ya nani? Mtoto au mume wako?
naomba msaada katika kunifahamisha hili suala jamani
 
Matiti ni mali yangu mwenyewe!!! Ninayaruhusu kutumiwa na mwingine (mtoto, mume) kulingana na mahitajio na mazingira. Full stop!!!!
 
Wanawake wote habari senyu.........:hungry::hungry:....... samahani kwa hii off topic, hivi mtoto akinyonya nyonyo mnajisikia vilevile kama akinyonya baba watoto? Nauliza kwasababu sijawahi kuwasikia mkiguna kimahaba wakati watoto wakinyonya. Samahani kama nimewakwaza.:whoo::whoo::whoo:
 
Wanawake wote habari senyu.........:hungry::hungry:....... samahani kwa hii off topic, hivi mtoto akinyonya nyonyo mnajisikia vilevile kama akinyonya baba watoto? Nauliza kwasababu sijawahi kuwasikia mkiguna kimahaba wakati watoto wakinyonya. Samahani kama nimewakwaza.:whoo::whoo::whoo:

hahhahaaaaaaaaaa hahhaaaaaaaaaaaaa....dah topic nyngne jaman mweeeeeeeeee!!!!!!
roy ebu kuja tukafanaye xpermnt nw nw...........:redfaces::redfaces::eek::eek:!!!!
 
Kweli hii ndio HOME OF GREAT THINKERS kazi kweli kweli like NN said this should go in "what the hell" column
 
hahhahaaaaaaaaaa hahhaaaaaaaaaaaaa....dah topic nyngne jaman mweeeeeeeeee!!!!!!
roy ebu kuja tukafanaye xpermnt nw nw...........:redfaces::redfaces::eek::eek:!!!!
Wewe una kesi ya kujibu. Jana ikawaje tena? Nani alikuwa anayanyonya?

matiti yangu ni mali ya babu.
Kuna mijitu itamuonea wivu babu muda si mrefu.


The Following User Says Thank You to Rose1980 For This Useful Post:
Asprin (Today)
 
Wewe una kesi ya kujibu. Jana ikawaje tena? Nani alikuwa anayanyonya?

Kuna mijitu itamuonea wivu babu muda si mrefu.


The Following User Says Thank You to Rose1980 For This Useful Post:
Asprin (Today)
babu sorry jana i was bze ..hakuna aliyenyonya wala kunyonywa......
nilikuwa repoa libraly then kko
leo pia muda si mfup nasepa...
AYA MATITI YA BABU!!!!!!!!
 
mtoto ni by product, baba ndiye mmiliki, so matiti ya baba kwa wakati husika, during breast feeding mtoto ataruhusiwa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom