Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 713
- 1,738
Kwa hesabu zangu tu za kawaida mchanganuo wa rambi rambi mpaka sasa upo ivi:-
mpaka sasa
marehemu ni '225
manusura ni 40~
jumla ya watu wote ni 265 waliokua kwenye kivuko
TUANZE.
- serikali ilitoa laki 5 kwa kila mwili wa marehemu
225 x 500,000= 112,500,000
- ikaje tena ikatoa 1ml kwa kila abiria aliye kuwepo
marehemu: 225 x 1,000,000 = 225,000,000
manusura: 40 x 1,000,000 = 40,000,000
Kwa hivyo Serikali imechangia(112.5ml+225ml+40ml): 377,500,000
Kwa mujibu wa 'TAARIFA YA HABARI "DIRA" YA SAA 10 JIONI LEO TBC 1' mpaka sasa Rambirambi imekusanya imefika 512,000,000
Ukichuka rambirambi ya wasamaria 512ml na serikali 377.5ml jumla ni 889,500,000
Tukifanya rambirambi ya wasamaria wapewe ndugu wa marehemu kila mwili utapata (512,000,000/225)= 2,275,555.56 jumlisha ya serikali 1.5ml = 3,775,555.56
Pia tukisema rambirambi ya wasamaria wapewe wote (512,000,000/265= 1,932,875)
kila mwili wa marehemu utapata(1.5ml+1.9ml) = 3,432,075
Kila manusura atapata (1ml + 1.9ml)=2,932,075
NB:
Ikiwa mgao utaendelea ivi marehemu 1.5ml na manusura 1ml jumla itakua 377,500,000 hiyo basi rambirambi ya wasamaria ni 512,000,000 - 377,500,000= 134500000 itakuwa faida kwao au 512ml zitaliwa na watu maana 377.5ml zimetolewa tayari
SITEGEMEI RAMBIRAMBI KULIWA.
mpaka sasa
marehemu ni '225
manusura ni 40~
jumla ya watu wote ni 265 waliokua kwenye kivuko
TUANZE.
- serikali ilitoa laki 5 kwa kila mwili wa marehemu
225 x 500,000= 112,500,000
- ikaje tena ikatoa 1ml kwa kila abiria aliye kuwepo
marehemu: 225 x 1,000,000 = 225,000,000
manusura: 40 x 1,000,000 = 40,000,000
Kwa hivyo Serikali imechangia(112.5ml+225ml+40ml): 377,500,000
Kwa mujibu wa 'TAARIFA YA HABARI "DIRA" YA SAA 10 JIONI LEO TBC 1' mpaka sasa Rambirambi imekusanya imefika 512,000,000
Ukichuka rambirambi ya wasamaria 512ml na serikali 377.5ml jumla ni 889,500,000
Tukifanya rambirambi ya wasamaria wapewe ndugu wa marehemu kila mwili utapata (512,000,000/225)= 2,275,555.56 jumlisha ya serikali 1.5ml = 3,775,555.56
Pia tukisema rambirambi ya wasamaria wapewe wote (512,000,000/265= 1,932,875)
kila mwili wa marehemu utapata(1.5ml+1.9ml) = 3,432,075
Kila manusura atapata (1ml + 1.9ml)=2,932,075
NB:
Ikiwa mgao utaendelea ivi marehemu 1.5ml na manusura 1ml jumla itakua 377,500,000 hiyo basi rambirambi ya wasamaria ni 512,000,000 - 377,500,000= 134500000 itakuwa faida kwao au 512ml zitaliwa na watu maana 377.5ml zimetolewa tayari
SITEGEMEI RAMBIRAMBI KULIWA.