Mateso ya udahili wa wanafunzi vyuoni yameanza kuonekana

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,266
12,561
Mfumo wa udahili wa pamoja kwa njia ya mtandao ulitengenezwa kutokana na tafiti zilizofanyika kuhusu manufaa yake katika kuwapunguzia wanafunzi na wazazi gharama za kutafuta, kuomba, na kujiunga na vyuo hapa nchini. Kuutengeza mtandao huu ulitumia gharama kubwa hadi uweze kutumika.

Baada ya kuachana na mfumo huu hivi sasa wanafunzi wameanza kuonja joto ya jiwe. Application form sasa ni sh. 50000. Ukitaka kuwa na uhakika wa kupata nafasi chuoni huna budi ufanye applications kwenye vyuo 3 au zaidi
 
Acha kupotosha watu yan kila chuo kina gharama yake, ngoja nitaje nilizoona, mwalimu nyerere Memorial - 30000,cbe-35000 , NIT-50000 kwa haraka nimeona acha panic subir hiyo tarehe 22/7 vyuo vyote wakianza kupokea ndo ulalamike... Acha kuwatetea TCU wezi tu me nilipangiwa chuo ambacho xikujaza naenda TCU wananionaje cjui akati mimi ndo nilikuwa nakesha kuitafuta one
 
Acha kupotosha watu yan kila chuo kina gharama yake, ngoja nitaje nilizoona, mwalimu nyerere Memorial - 30000,cbe-35000 , NIT-50000 kwa haraka nimeona acha panic subir hiyo tarehe 22/7 vyuo vyote wakianza kupokea ndo ulalamike... Acha kuwatetea TCU wezi tu me nilipangiwa chuo ambacho xikujaza naenda TCU wananionaje cjui akati mimi ndo nilikuwa nakesha kuitafuta one

Tatizo liko pale pale,TCU walikua wanapokea 50k tu. Naona serikali imepata sehemu ya kukusanyia pesa.
 
Tatizo liko pale pale,TCU walikua wanapokea 50k tu. Naona serikali imepata sehemu ya kukusanyia pesa.
Vyuo vitano na round tano namba imehamia kwenye udahili sasa me nilijua mapema hii ni njia mpya ya kukusanya hela tu :D :D :D :D TCU walikua na mapungufu yao ila walikua na msaada mkubwa kwa kweli na hata kama waliplka watu vyuo hawavitaki mbona walikuwa wanatoa nafasi ya kuhamia unapopataka
 
Acha kupotosha watu yan kila chuo kina gharama yake, ngoja nitaje nilizoona, mwalimu nyerere Memorial - 30000,cbe-35000 , NIT-50000 kwa haraka nimeona acha panic subir hiyo tarehe 22/7 vyuo vyote wakianza kupokea ndo ulalamike... Acha kuwatetea TCU wezi tu me nilipangiwa chuo ambacho xikujaza naenda TCU wananionaje cjui akati mimi ndo nilikuwa nakesha kuitafuta one
Wengine humu wametumwa hili waitete TCU. Unajua kulikuwa Na mirija ya kupiga pesa za govt, kwa hiyo usishangae mkuu
 
K
Mfumo wa udahili wa pamoja kwa njia ya mtandao ulitengenezwa kutokana na tafiti zilizofanyika kuhusu manufaa yake katika kuwapunguzia wanafunzi na wazazi gharama za kutafuta, kuomba, na kujiunga na vyuo hapa nchini. Kuutengeza mtandao huu ulitumia gharama kubwa hadi uweze kufunika.

Baada ya kuachana na mfumo huu hivi sana wanafunzi wameanza kuonja joto ya jiwe. Application form sasa ni sh. 50000. Ukitaka kuwa na uhakika wa kupata nafasi chuoni huna budi ufanye applications kwenye vuo 3 au z
Kuapply chuoni direct bado Ni rahisi , assume umeapply vyuo vitatu vyenye application sh 35,000 per chuo *3 equal to 115,000 - tcu gharama 50,000equal to 65,000 incremental cost , mtu aliyeapply direct amechaguliwa vyuo vya mkoa anaoishi, eg DSm, so there no need of bus fares, mtu wa tcu amepelekwa songea , nauli ya songea 32500 *2 equal to 65,000, so tcu root and direct appl all have 115000, incremental Ni zero kwa likizo moja Tu. Nategemea utasafiri songea zaidi ya mara tano mpaka unamaliza chuo , kwa hiyo 32500 *2*4equal to 260,000 loss (cost to tcu appl channel or saving to direct to school appl channel , kwa hiyo sio kweli kwamba ukiapply via tcu ni rahisi kuliko direct ,hapo sijaweka hidden cost mfano kuchoka ,etc
 
Wengine humu wametumwa hili waitete TCU. Unajua kulikuwa Na mirija ya kupiga pesa za govt, kwa hiyo usishangae mkuu
Huu ni mpango wa taasisi fulani inayomiliki vyuo vikuu binafsi. Unatumiwa na taasisi hiyo.
 
Mfumo wa udahili wa pamoja kwa njia ya mtandao ulitengenezwa kutokana na tafiti zilizofanyika kuhusu manufaa yake katika kuwapunguzia wanafunzi na wazazi gharama za kutafuta, kuomba, na kujiunga na vyuo hapa nchini. Kuutengeza mtandao huu ulitumia gharama kubwa hadi uweze kutumika.

Baada ya kuachana na mfumo huu hivi sana wanafunzi wameanza kuonja joto ya jiwe. Application form sasa ni sh. 50000. Ukitaka kuwa na uhakika wa kupata nafasi chuoni huna budi ufanye applications kwenye vuo 3 au zaidi
Hii ni njia mojawapo itakayo sababisha vyuo kuselect wanafunzi wasio na sifa
 
Acha kupotosha watu yan kila chuo kina gharama yake, ngoja nitaje nilizoona, mwalimu nyerere Memorial - 30000,cbe-35000 , NIT-50000 kwa haraka nimeona acha panic subir hiyo tarehe 22/7 vyuo vyote wakianza kupokea ndo ulalamike... Acha kuwatetea TCU wezi tu me nilipangiwa chuo ambacho xikujaza naenda TCU wananionaje cjui akati mimi ndo nilikuwa nakesha kuitafuta one

Mkuu hizo gharama ulizozitaja ni kwa ajili ya maombi ya shahada ya kwanza au ni za stashahada na astashahada ?
 
Acha kupotosha watu yan kila chuo kina gharama yake, ngoja nitaje nilizoona, mwalimu nyerere Memorial - 30000,cbe-35000 , NIT-50000 kwa haraka nimeona acha panic subir hiyo tarehe 22/7 vyuo vyote wakianza kupokea ndo ulalamike... Acha kuwatetea TCU wezi tu me nilipangiwa chuo ambacho xikujaza naenda TCU wananionaje cjui akati mimi ndo nilikuwa nakesha kuitafuta one
Jiongeze!
Wangi walipata walivyochagua ila makosa kujitokeza ni jambo la kawaida ukizingatia mfumo wenyewe haukua smart kiivo yani bongo ni bongo tu. Ila kwa huu utaratibu wa sasa unaumiza zaidi wanafunzi
 
Jiongeze!
Wangi walipata walivyochagua ila makosa kujitokeza ni jambo la kawaida ukizingatia mfumo wenyewe haukua smart kiivo yani bongo ni bongo tu. Ila kwa huu utaratibu wa sasa unaumiza zaidi wanafunzi
Kikubwa ikitokea mistakes kuna maombi mengine wanatoa ya kubadili course na kubadili chuo as long as una vigezo tu kwaio hakuna kikubwa me binafc ni mhang wa hilo nlichagua nilipopelekwa ila ckuridhika kiivo nilitaka chaguo la mwanzo nikahama chuo na course na wakanihamisha bila vikwazo vigezo tu muhimu nikabadili chuo na course yake
 
Kikubwa ikitokea mistakes kuna maombi mengine wanatoa ya kubadili course na kubadili chuo as long as una vigezo tu kwaio hakuna kikubwa me binafc ni mhang wa hilo nlichagua nilipopelekwa ila ckuridhika kiivo nilitaka chaguo la mwanzo nikahama chuo na course na wakanihamisha bila vikwazo vigezo tu muhimu nikabadili chuo na course yake
So utakua unakubaliana na mimi kwamba mfumo wa sasa utawaumiza sana madogo
 
K
Kuapply chuoni direct bado Ni rahisi , assume umeapply vyuo vitatu vyenye application sh 35,000 per chuo *3 equal to 115,000 - tcu gharama 50,000equal to 65,000 incremental cost , mtu aliyeapply direct amechaguliwa vyuo vya mkoa anaoishi, eg DSm, so there no need of bus fares, mtu wa tcu amepelekwa songea , nauli ya songea 32500 *2 equal to 65,000, so tcu root and direct appl all have 115000, incremental Ni zero kwa likizo moja Tu. Nategemea utasafiri songea zaidi ya mara tano mpaka unamaliza chuo , kwa hiyo 32500 *2*4equal to 260,000 loss (cost to tcu appl channel or saving to direct to school appl channel , kwa hiyo sio kweli kwamba ukiapply via tcu ni rahisi kuliko direct ,hapo sijaweka hidden cost mfano kuchoka ,etc
Wangapi wanaishi mikoa yenye vyuo ili iwe kama unavyosema?
Wakat wengi wakitazamia kujiunga udsm wahitimu wangap wanaoishi Dar?
Umejitahidi kuandika ila kwa upande wangu naona hamna mantik au labda unieleweshe vzr kwa kunijib maswal yangu hayo
 
Back
Top Bottom