Mateso ya udahili wa wanafunzi vyuoni yameanza kuonekana

Kwa malalamiko ya wengi inaonesha CAS ilikuwa inafanya mistake kwenye baadhi ya selection kwa kupeleka watu sehemu wasiyo taka. Ila mara nyingi ilikuwa inatokea mtu ana division 1.9 anaomba kozi kadhaa mfano chuo cha UDSM ila unakuta hizo kozi zote kuna watu wameomba na wana points zuri kuliko hiyo sasa TCU wanakupa nafasi ya kurudia kuomba tena ila baada ya hapo unakuwa stricted kuapply vyuo vyenye nafas tu. Sasa kwa kuutoa huu mfumo hawaja solve hilo tatizo. Sababu mtu ataomba tena chuo flani kwa hiyi utaratibu utakuwa ni vile vile ila saiz ni kwa gharama kubwa zaid sababu mtu atalazimika kuomba zid ya chuo kimoja kwa malipo tofauti. Ni rahis kuboresha system kuliko kuanza upya.
 
Nitajie ambaye amepangiwa chuo ambacho hakuomba... maana ni lazima upewe kati ya vile ulivyoomba.. usitake kuchangia kinafiki.. TCU wanakupangia ndani ya vile ulivyoomba.. na ikiwa ulivyoomba vina ushindani na tayari vimejaa ndipo hukujulisha ili uangalie machaguo mengine.. same applying to ukiomba direct vyuoni..
Ushindani gani wa kufikia adi vyuo 4 acha umbulula watu tumepelekwa 5th selection kisa tu chuo x kisikose Mteja acha ubashite
 
K
Kuapply chuoni direct bado Ni rahisi , assume umeapply vyuo vitatu vyenye application sh 35,000 per chuo *3 equal to 115,000 - tcu gharama 50,000equal to 65,000 incremental cost , mtu aliyeapply direct amechaguliwa vyuo vya mkoa anaoishi, eg DSm, so there no need of bus fares, mtu wa tcu amepelekwa songea , nauli ya songea 32500 *2 equal to 65,000, so tcu root and direct appl all have 115000, incremental Ni zero kwa likizo moja Tu. Nategemea utasafiri songea zaidi ya mara tano mpaka unamaliza chuo , kwa hiyo 32500 *2*4equal to 260,000 loss (cost to tcu appl channel or saving to direct to school appl channel , kwa hiyo sio kweli kwamba ukiapply via tcu ni rahisi kuliko direct ,hapo sijaweka hidden cost mfano kuchoka ,etc
Hii assumption yako ingekuwa sawa endapo kila mkoa wa Tanzania ungekuwa na vyuo vinavyo fundisha kozi zote. Sasa hapo mtu wa mkoa ambao hauna chuo ina maana atalipa hiyo tsh 115,000/= pamoja na hizo gharama nyingine zote wakati kwa CAS angelioa tsh 50000/= tu. Kutokea hapo hapo kwenye tathmini yako bado inaonyesha watu wataumia zaid.
 
Of
Hii assumption yako ingekuwa sawa endapo kila mkoa wa Tanzania ungekuwa na vyuo vinavyo fundisha kozi zote. Sasa hapo mtu wa mkoa ambao hauna chuo ina maana atalipa hiyo tsh 115,000/= pamoja na hizo gharama nyingine zote wakati kwa CAS angelioa tsh 50000/= tu. Kutokea hapo hapo kwenye tathmini yako bado inaonyesha watu wataumia zaid.
Course Kuna exceptional cases kama vile watu wa MUHAS,Uclas,Dit etc , hila hoja yako Ina masiko mkuu, as time goes on we gonna introduce online application kwa kila chuo
 
Wengine humu wametumwa hili waitete TCU. Unajua kulikuwa Na mirija ya kupiga pesa za govt, kwa hiyo usishangae mkuu
Mimi sijui Ni madudu gani walifanya TCU hadi wakaitwa wezi na wala rushwa. Ila nafahamu PIA kwamba vyuo vimepiga Sana vita utaratibu huo kwa sababu ulivikosesha mapato. Kwa hiyo sitarajii mtu yeyote mwenye maslahi na Chuo aitetee TCU
 
Ushindani gani wa kufikia adi vyuo 4 acha umbulula watu tumepelekwa 5th selection kisa tu chuo x kisikose Mteja acha ubashite
5th selection lakin ni ambayo ilikua katika machaguo yako, kama ulikua hutaki hiyo 5th usingechagua ukajaza nafasi zote 5 chuo kimoja!!!
 
Nitajie ambaye amepangiwa chuo ambacho hakuomba... maana ni lazima upewe kati ya vile ulivyoomba.. usitake kuchangia kinafiki.. TCU wanakupangia ndani ya vile ulivyoomba.. na ikiwa ulivyoomba vina ushindani na tayari vimejaa ndipo hukujulisha ili uangalie machaguo mengine.. same applying to ukiomba direct vyuoni..
Jana TCU walikuwa Azam2 na akti ya mambo waliyosema ni kuwa kati ya wanafunzi waliokwenda kwao kulalamika yakuwa wamepangiwa chuo ambacho hawakuomba waligundua wengi hawasomi kitabu cha mwongozo kwa umakini (kuingia kichwa kichwa program zenye ushindani mkubwa (mfano waliotoa ni MD MHUHAS), kuna wanaojaziwa na watu wengine (wakatoa mfano wa internet cafe operators, ndugu), kuna wanaofanyiwa selection ya vyuo na ndugu zao. Kuna wanaoweka vyuo ambavyo hawana hakika navyo hasa nafasi ya 4 na 5 (wakichaguliwa huko hawaamini). Yote haya huchangia hayo malalamiko.
Katika mazungumzo yao wamesema watatoa guide book 2017/18. Pia watatoa gharama elekezi kwa vyuo. Baada ya chuo kuchagua chuo kitabidi kipeleke majina yote (waliochaguliwa na walio achwa) kwa uhakiki (verification). LAKINI sikusikia watashughulikia vipi na multiple selections za wanafunzi, na hawakuzungumzia uwepo wa raundi zaidi ya moja ya selection. Hii ina maana ya kuwa huenda ukikosa raundi ya kwanza ndio basi tena hadi mwakani.
 
K
Kuapply chuoni direct bado Ni rahisi , assume umeapply vyuo vitatu vyenye application sh 35,000 per chuo *3 equal to 115,000 - tcu gharama 50,000equal to 65,000 incremental cost , mtu aliyeapply direct amechaguliwa vyuo vya mkoa anaoishi, eg DSm, so there no need of bus fares, mtu wa tcu amepelekwa songea , nauli ya songea 32500 *2 equal to 65,000, so tcu root and direct appl all have 115000, incremental Ni zero kwa likizo moja Tu. Nategemea utasafiri songea zaidi ya mara tano mpaka unamaliza chuo , kwa hiyo 32500 *2*4equal to 260,000 loss (cost to tcu appl channel or saving to direct to school appl channel , kwa hiyo sio kweli kwamba ukiapply via tcu ni rahisi kuliko direct ,hapo sijaweka hidden cost mfano kuchoka ,etc
Apply wide view of the scenario. Kwani uki-apply vyuo viliyo dar una uahkika kuwa utavipata kadri ya ushindani? Ukivikosa unafanyaje?
 
Back
Top Bottom