Mateso ya udahili wa wanafunzi vyuoni yameanza kuonekana

Wapo wamiliki wa vyuo binafsi wanalalamika eti CAS ilikuwa inawazuia kudahiri wanafunzi wengi wa aina fulani (dini, kabila, kanda, kipato) na kuwaleta wanafunzi wengi wa aina fulani (dini, kabila, kanda, kipato, kiwango cha elimu) bila hiari yao. Wakajikuta wanatoa elimu kwa watu wengi wasiokusudiwa na sera zao na kuwakosesha nafasi walengwa.
Aaah haya madai ukiyafkiria tu huwezi amini wanavyotekeleza. Kivip mfumo wa CAS uchague wat kwa vigezo vya dini,kabila n.k
Mi sioni msingi wa haya madai
 
Aaah haya madai ukiyafkiria tu huwezi amini wanavyotekeleza. Kivip mfumo wa CAS uchague wat kwa vigezo vya dini,kabila n.k
Mi sioni msingi wa haya madai
Hujanielewa. CAS ilikuwa inamnyima mwenye chuo kuchagua wanafunzi wafupi tu kama angependa wanafunzi wafupi tu kwenye chuo chake.
 
Hujanielewa. CAS ilikuwa inamnyima mwenye chuo kuchagua wanafunzi wafupi tu kama angependa wanafunzi wafupi tu kwenye chuo chake.
Sina uhakika kama nimeelewa mpaka sasa.
Wenye kuchagua ni wanafunzi na mpaka TCu wanampeleka mwanafunzi chuo husika ina maana katimiza vigezo. Sasa hilo jambo la wamiliki kuchagua wanafunz wenye sifa kadha wa kadhaa linatoka wapi?
 
Sina uhakika kama nimeelewa mpaka sasa.
Wenye kuchagua ni wanafunzi na mpaka TCu wanampeleka mwanafunzi chuo husika ina maana katimiza vigezo. Sasa hilo jambo la wamiliki kuchagua wanafunz wenye sifa kadha wa kadhaa linatoka wapi?
Bado hujaelewa. kwa kutumia CAS ilikuwa haiwezekani kuchagua kabila wala dini ya mwanafunzi kujiunga na chuo chako, lakini udahiri wa moja kwa moja kwenye vyuo kama itakavyofanyika mwaka huu jambo hilo linawezekana. Sasa hivi mwenye chuo atakuwa na uwezo na uhuru wa kumpatia nafasi mwanafunzi mwenye jina la Abdallah na kumnyima yule mwenye jina la Thomas kwa urahisi zaidi kuliko ilivyokuwa wakati wa CAS.
 
Ahh TCU sihitaji kuwasikia kabisa walitupanda kichwan
Lakini bado wanajipendekeza kwamba baada ya chuo kuchagua wanafunzi wao wataamua. Mimi nafikiri Mh rais anahitaji kuwatumbua hawana kazi kwa sasa. Maana hata udhamini central goverment inaweza kufanya
 
K
Kuapply chuoni direct bado Ni rahisi , assume umeapply vyuo vitatu vyenye application sh 35,000 per chuo *3 equal to 115,000 - tcu gharama 50,000equal to 65,000 incremental cost , mtu aliyeapply direct amechaguliwa vyuo vya mkoa anaoishi, eg DSm, so there no need of bus fares, mtu wa tcu amepelekwa songea , nauli ya songea 32500 *2 equal to 65,000, so tcu root and direct appl all have 115000, incremental Ni zero kwa likizo moja Tu. Nategemea utasafiri songea zaidi ya mara tano mpaka unamaliza chuo , kwa hiyo 32500 *2*4equal to 260,000 loss (cost to tcu appl channel or saving to direct to school appl channel , kwa hiyo sio kweli kwamba ukiapply via tcu ni rahisi kuliko direct ,hapo sijaweka hidden cost mfano kuchoka ,etc
Acha uongo wwe et nauli ya songea 32500, labda ka gari ni ya ukoo wenu
 
Bado hujaelewa. kwa kutumia CAS ilikuwa haiwezekani kuchagua kabila wala dini ya mwanafunzi kujiunga na chuo chako, lakini udahiri wa moja kwa moja kwenye vyuo kama itakavyofanyika mwaka huu jambo hilo linawezekana. Sasa hivi mwenye chuo atakuwa na uwezo na uhuru wa kumpatia nafasi mwanafunzi mwenye jina la Abdallah na kumnyima yule mwenye jina la Thomas kwa urahisi zaidi kuliko ilivyokuwa wakati wa CAS.
Nimekupata.
Actly litakua tatizo
 
Wangapi wanaishi mikoa yenye vyuo ili iwe kama unavyosema?
Wakat wengi wakitazamia kujiunga udsm wahitimu wangap wanaoishi Dar?
Umejitahidi kuandika ila kwa upande wangu naona hamna mantik au labda unieleweshe vzr kwa kunijib maswal yangu hayo
Sasahivi mikoa mingi Ina vyuo , population kubwa IPO mikoa yenye vyuo ,eg dar , mwanza , mbeya , arusha, etc kwa baadhi ya kozi ni kweli watu watapenda UDSM , hila kuna nyingine kama za uhasibu mimi sioni logic mtu ang'ang'anie UD, kwani kuna vyuo vingi tu
 
Mfumo wa udahili wa pamoja kwa njia ya mtandao ulitengenezwa kutokana na tafiti zilizofanyika kuhusu manufaa yake katika kuwapunguzia wanafunzi na wazazi gharama za kutafuta, kuomba, na kujiunga na vyuo hapa nchini. Kuutengeza mtandao huu ulitumia gharama kubwa hadi uweze kutumika.

Baada ya kuachana na mfumo huu hivi sasa wanafunzi wameanza kuonja joto ya jiwe. Application form sasa ni sh. 50000. Ukitaka kuwa na uhakika wa kupata nafasi chuoni huna budi ufanye applications kwenye vyuo 3 au zaidi
Hacheni usumbufu TCU mlikua mnailalamikia sasa mmeachiwa mchangue mnachotaka mnapiga kelele
 
Ni ukweli usiopingika kuwa MKUU AMEKURUPUKA.. TCU haiwezi kukupatia chuo usichoomba hata iweje.. ndio maana tuliambiwa tujaze vyuo tupendavyo.. yaaan machaguo matano.. ikiwa vyuo ulivyoomba vina ushindani ndipo hukupa option ya kuchagua chuo kingine... suala la kupata one sijui nini halina mashiko.. maana unaweza ukapata one PCM ukaomba medicine..kwann usikose..?? TCU ilikuwa inarahisisha hata HESLB kutoa majina yao kwa wakati.. sasa tutegemee upuuzi na ukosaji wa mikopo kwa watoto wa masikini.. INAFAHAMIKA WAZI USHINDANI KTK BAADHI YA VYUO NI MKUBWA HASA.. UDSM, MZUMBE, SUA, MUHAS na hata IFM.. Hivyo ilikuwa rahisi kwa mtu kupewa chaguo lake la pili au tatu... Usumbufu wa kuomba chuoni ni mkubwa hasa ukizingatia kwamba hakuna limit capcity ya idadi ya fomu.. hivyo basi vyuo watafanya biashara ya fomu hata kama wanajua udahili wa wanafunzi kwao ni mdogo.. Tusubiri tuone.. ila mkuu anakurupuka sana...
 
Sasahivi mikoa mingi Ina vyuo , population kubwa IPO mikoa yenye vyuo ,eg dar , mwanza , mbeya , arusha, etc kwa baadhi ya kozi ni kweli watu watapenda UDSM , hila kuna nyingine kama za uhasibu mimi sioni logic mtu ang'ang'anie UD, kwani kuna vyuo vingi tu
Unakusudia vyuo gani?
Ila ukikusudia vyuo vikuu sio kwel kwmba mikoa mingi vipo. Lengine ni kwamba mtu anatazamia kusoma chuo bora chenye kujulikana na kilicho na viwango. Naamini nikizungukza hivi utakua ushapata jibu kwamba patalazima mtu wa mkoani Kigoma kuja Muhimbili kufanya Application, na wa kule kwetu Kilwa asafiri mpaka Dar atafute Dit au Udsm n.k so kuna ugumu utapatikana husasan kipind hiki ambacho pesa ngumu
 
TCU Imeharibu sana ndoto za watu.
Nitajie ambaye amepangiwa chuo ambacho hakuomba... maana ni lazima upewe kati ya vile ulivyoomba.. usitake kuchangia kinafiki.. TCU wanakupangia ndani ya vile ulivyoomba.. na ikiwa ulivyoomba vina ushindani na tayari vimejaa ndipo hukujulisha ili uangalie machaguo mengine.. same applying to ukiomba direct vyuoni..
 
o
Unakusudia vyuo gani?
Ila ukikusudia vyuo vikuu sio kwel kwmba mikoa mingi vipo. Lengine ni kwamba mtu anatazamia kusoma chuo bora chenye kujulikana na kilicho na viwango. Naamini nikizungukza hivi utakua ushapata jibu kwamba patalazima mtu wa mkoani Kigoma kuja Muhimbili kufanya Application, na wa kule kwetu Kilwa asafiri mpaka Dar atafute Dit au Udsm n.k so kuna ugumu utapatikana husasan kipind hiki ambacho pesa ngumu
ok mkuu, hiyo issue ndogo, tutaanzisha/ imeanzishwa online application ya kila vyuo, lakini kumbuka dar ni kama vile kila mtu kwao , yaani ana ndugu au jamaa, binafsi dit na MUHAS nawakubali saana
 
o

ok mkuu, hiyo issue ndogo, tutaanzisha/ imeanzishwa online application ya kila vyuo, lakini kumbuka dar ni kama vile kila mtu kwao , yaani ana ndugu au jamaa, binafsi dit na MUHAS nawakubali saana
Kama kila chuo kitakua na online appl syatm itakua poa. Je hapatakua na charge zozote katika hizo appl ukizingatia mtu ataaply zaid ya chuo kimoja?
Kuhusu kuwepo na ndg wa kila jamaa Dar sio ishu mana hata wakiwepo kama mhusika atahitaj kuaply kufika mwenyewe Chuoni ni bira zaidi ili kuhakikisha Application inafanikiwa. Kuliko kutegemea una ndg then ikawa magumashi
 
Sema TCU walikupanda kichwani siyo kwamba walitupanda kichwani? Walikupanda kichwani wewe na nani? Tusipende kugeneralize mambo.
Pamoja na mapungufu yao, tcu walikuwa na msaada mkubwa kwa watoto wa maskini. Na ilikuwa njia nzuri na ya uhakika zaidi.
 
Acha kupotosha watu yan kila chuo kina gharama yake, ngoja nitaje nilizoona, mwalimu nyerere Memorial - 30000,cbe-35000 , NIT-50000 kwa haraka nimeona acha panic subir hiyo tarehe 22/7 vyuo vyote wakianza kupokea ndo ulalamike... Acha kuwatetea TCU wezi tu me nilipangiwa chuo ambacho xikujaza naenda TCU wananionaje cjui akati mimi ndo nilikuwa nakesha kuitafuta one
Ulikuwa na kimavi, wanafunzi wote tulipangiwa kule tulikochagua japo wengine ilikuwa ile chaguo letu la tano.
 
Back
Top Bottom