Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Kwani hujui kuwa Makka na Madina zipo Saudi Arabia na Mtume Muhammad (S.A.W) kazaliwa huko?

Wabillah Tawfiq,
Sio kila muarabu ni muislam.na kuea muarabu SIO TIKETI YA KUFANYA MADHAMBI au kunyanyasa mtu.
USICHANGANYE UISLAM NA UARABU au matendo ya waarabu ukayanasibisha na UISLAM .ni sawa na yesu alikuwa myahudi lakini hauwezi kumuhukumu yesu kwa matendo ya ndugu zake au ukahuukumu ukristo kwa matendo ya wauumini wake
 
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.

Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.

Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.

Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.

View attachment 1070124

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaya sana hii sijui kama alipona huyu hiki kipigo kililenga kuua sio kurekebisha sijui aliwakosea nini masikini loh
 
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.

Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.

Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.

Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.

View attachment 1070124

Sent using Jamii Forums mobile app
Karne hii unaendaje kuwa mtumishi wa ndani uarabuni.mambo mengine ni kujitakia tu mapori yapo kibao hapa.ni uvivu tu na kutafuta short cut kwenye maisha.wacha wasulubiwe.
 
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mwarabu ni jamii katili sana hata hapa kwetu pamoja ni TZ lakini bado wananyanyasa sana watumishi ni bora kufanya kazi kwa Mhindi kuliko hiyo damu chafu
 
Back
Top Bottom