mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,285
- 44,828
Sio kila muarabu ni muislam.na kuea muarabu SIO TIKETI YA KUFANYA MADHAMBI au kunyanyasa mtu.Kwani hujui kuwa Makka na Madina zipo Saudi Arabia na Mtume Muhammad (S.A.W) kazaliwa huko?
Wabillah Tawfiq,
USICHANGANYE UISLAM NA UARABU au matendo ya waarabu ukayanasibisha na UISLAM .ni sawa na yesu alikuwa myahudi lakini hauwezi kumuhukumu yesu kwa matendo ya ndugu zake au ukahuukumu ukristo kwa matendo ya wauumini wake