Unasubiri bati mwezi mzima? kweli wewe una mahaba na Alaf, mimi niliweka order ya mabati kwenye kiwanda huku maeneo ya mbezi nikayapata kesho yake....nikalipa na kubeba mzigo.
Mbezi beach au kile kiwanda kama unaenda malamba mawili?
Unasubiri bati mwezi mzima? kweli wewe una mahaba na Alaf, mimi niliweka order ya mabati kwenye kiwanda huku maeneo ya mbezi nikayapata kesho yake....nikalipa na kubeba mzigo.
Mmekaririshwa tu,kuna viwanda viko mitaani tu vinatengeneza bati nzuri tuZina ubora kwa kweli
Kuna wachina wapo mwenge njia ya kwenda coca cola ukivuka mataa kwa mbele kidogo,bati zao ziko vizuriBati gan ya china ina quality mkuu Hawa alaf hawashikiki sa hivi
Mzigo Na Material mengine yanatoka South Africa . Mpaka kutoa bandalini inachukua MudaMzigo ukifika? ALAF nao siku hizi ni store ya kutunza import material? Nilijua wanazalisha.
Ungetumia mawakala ungepata mzigo mapema ..mie mzigo wangu wakala aliuleta J3 usiku kama saa saba iviHabari WanaJF nililipia bati Alaf mwezi mmoja uliopita nikataarifiwa bati zinatoka leo nipeleke gari ya kupakia.
Nilipeleka gari yangu asubuhi ya leo ila mpaka saa hizi saa mbili usiku.
Hii ni kero kwa kweli
Nilinunua wakala nduguUngetumia mawakala ungepata mzigo mapema ..mie mzigo wangu wakala aliuleta J3 usiku kama saa saba ivi
Basi wakala ni mzito, mm nilikuwa na mpush wakala afuatilie order yangu...na kutu cha versatile kika shukaNilinunua wakala ndugu
Shida umejengewa mentality na jamaa zakoChief hakuna taasisi inyotengeneza bati bora kama hai ila tatizo ni huu ukiritimba uliopo kisa kuna ubia na watu wa serikali
Ukitoka mbezi unapitia barabara ya kinyerezi..Mbezi beach au kile kiwanda kama unaenda malamba mawili?
polirise unamaanisha nini mkuu..Hyo kiwanda Ni polirise nakushauri tu chukua gaji 28 mkuuu utanishukuru baadae
Sitarajii hilo.....yana garantee ya miaka 5 kwa hiyo sitarajii kuyabadilisha hata kwa miaka 10 ijayo kwani hadi sasa hayajaniangusha.Yakianza kupauka na kutoboka usije kulialia humu
Sitarajii hilo..Subiri baada ya miaka mitano utanunua bati mpya.
Yaani nawashangaa hawa watu mkuu, unakaa kusubiri bati mwezi mzima, seriously? jamaa wana ofisi zao mitaani na bati zao zina quality ileile...hazipauki wala nini!Mmekaririshwa tu,kuna viwanda viko mitaani tu vinatengeneza bati nzuri tu