Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,896
- 12,686
"Amewaambia nani naumwa?" nimekumbuka haya maneno tuliambiwa na jirani yetu mgonjwa baada ya kusikia anaumwa tukasema ngoja tukamuone ila kilichotukuta mpaka huwa nawaza Mara mbili mbili namna ya kwenda kumuona mgonjwa.
Jamii yetu bado haielewi kama suala LA kuumwa linabaki kuwa la familia au public?
Ndio maana wengine yanatukuta kama hayo.
Au unaenda kumuona mgonjwa unaambiwa amelala ni Mara tu baada ya kutusikia
Mwingine baada kuondoka tukaja kusikia eti tulienda kumuona kama amekonda au la!
Ukienda kumuona unaambiwa "mbea" usipoenda lawama
Mpaka Leo huwa najifikiria Mara mbili mbili suala LA kuangalia mgonjwa.
Jamii yetu bado haielewi kama suala LA kuumwa linabaki kuwa la familia au public?
Ndio maana wengine yanatukuta kama hayo.
Au unaenda kumuona mgonjwa unaambiwa amelala ni Mara tu baada ya kutusikia
Mwingine baada kuondoka tukaja kusikia eti tulienda kumuona kama amekonda au la!
Ukienda kumuona unaambiwa "mbea" usipoenda lawama
Mpaka Leo huwa najifikiria Mara mbili mbili suala LA kuangalia mgonjwa.