Matembezi ya FAO Dodoma 29 may 2011

SolarPower

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
223
27
Watanzania Wenzangu natumaini WOTE TUMEONA TANGAZO LA SHIRIKA LA CHAKULA NA KILIMO DUNIANI--FAO-- KATIKA GAZETI LA THE GUARDIAN LA JANA 14.05.2011 WAKITOA MWALIKO KWETU WOTE ILI TWEDE DODOMA NA KUSHIRIKI KATIKA MATEMBEZI HAYO YA KILA MWAKA AMBAMBO MWAKA HUU WA 2011 YATAFANYIKA (Kwa Mujibu wa Tangazo HILO) SIKU YA JUMAPILI IJAYO YAANI TAREHE 29 MAY 2011---Siku SABA TUU--Toka LEO TAREHE 15.MAY.2011. Katika Tangazo hilo wanasema kuwa kwa Mwaka jana PEKEE Yaani MWAKA 2010 Walifanikwa KUKUSANYA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 174 HAPACHINI NA KUWEZA KUWAPATIA CHAKULA CHA MCHANA WATOTO WETU KATIKA SHULE ZAIDI YA 1100. NA PIA WANASEMA KUWA KWA DUNIA NZIMA WATU MILIONI MOJA WALISHIRIKI KATIKA MATEMBEZI HAYO YA MWAKA JANA WA 2010.

Kwa Kuwa Wote Hatuwezi Kwenda DODOMA Naomba OFISI YA WAZIRI MKUU IFANYE KAZI USIKU NA MCHANA KUHAKIKISHA KUWA KILA MTU ANAYEISHI KATIKA NCHI HII ANASHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA MATEMBEZI HAYO KWA KUPITIA SIMU YAKE YA MKONONI KWA KUCHANGIA SHILINGI 5,000 TUU KWA KILA NAMBA YAKE YA MKONONI ANAYOITUMIA. TUKIFANYA HIYO KWA PAMOJA KAMA TAIFA KWA SIKU HIYO YA

29 MAY 2011 TUTAKUSANYA KIASI CHA SHILINGI ZA KITANZANIA ZIPATAZO BILIONI 105.791820
 
Asante mkuu. Ila mkuu naomba nikusahihishe kidogo tu, siyo FAO ni WFP japo yanahusiana. UNWFP walikuwa ndani UNFAO kama idara huko nyuma na baadae walijitegemea kwa kuendelea na kazi za kuhudumia chakula kama jina lao linavyojinadi, United Nations World Food Programme na United Nations Food and Agricultural Organisation wakiendelea kuhudumia kilimo. wazo la kuchangia ni zuri kwa wananchi ili tuweze kulisha watoto wetu wenyewe kuliko kutegemea watu wageni. tunatuma kwa namba ipi sasa mkuu?
 
Watanzania Wenzangu natumaini WOTE TUMEONA TANGAZO LA SHIRIKA LA CHAKULA NA KILIMO DUNIANI--FAO-- KATIKA GAZETI LA THE GUARDIAN LA JANA 14.05.2011 WAKITOA MWALIKO KWETU WOTE ILI TWEDE DODOMA NA KUSHIRIKI KATIKA MATEMBEZI HAYO YA KILA MWAKA AMBAMBO MWAKA HUU WA 2011 YATAFANYIKA (Kwa Mujibu wa Tangazo HILO) SIKU YA JUMAPILI IJAYO YAANI TAREHE 29 MAY 2011---Siku SABA TUU--Toka LEO TAREHE 15.MAY.2011. Katika Tangazo hilo wanasema kuwa kwa Mwaka jana PEKEE Yaani MWAKA 2010 Walifanikwa KUKUSANYA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 174 HAPACHINI NA KUWEZA KUWAPATIA CHAKULA CHA MCHANA WATOTO WETU KATIKA SHULE ZAIDI YA 1100. NA PIA WANASEMA KUWA KWA DUNIA NZIMA WATU MILIONI MOJA WALISHIRIKI KATIKA MATEMBEZI HAYO YA MWAKA JANA WA 2010.

Kwa Kuwa Wote Hatuwezi Kwenda DODOMA Naomba OFISI YA WAZIRI MKUU IFANYE KAZI USIKU NA MCHANA KUHAKIKISHA KUWA KILA MTU ANAYEISHI KATIKA NCHI HII ANASHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA MATEMBEZI HAYO KWA KUPITIA SIMU YAKE YA MKONONI KWA KUCHANGIA SHILINGI 5,000 TUU KWA KILA NAMBA YAKE YA MKONONI ANAYOITUMIA. TUKIFANYA HIYO KWA PAMOJA KAMA TAIFA KWA SIKU HIYO YA

29 MAY 2011 TUTAKUSANYA KIASI CHA SHILINGI ZA KITANZANIA ZIPATAZO BILIONI 105.791820

Tatizo si watanzania kuchangia; tumewahi kuchangia mambo mengi sana tangu uhuru; tatizo ni hiyo michango itatumikaje. Ukifuatilia madudu yanayofanyika huko halmashauri na kwenye vikao vya madiwani ambao kimsingi masuala haya wao ndio hasa watekelezaji wakuu huna hamu ya kusikia kitu kinachoitwa KUCHANGIA.

By the way hivi serikali imeruhusuje "aibu" hii inayotaka kuletwa na FAO kwa taifa letu? Sioni kama ina tofauti sana na ile ya "Sauper" kuhusu MAPANKI ambayo ilipigwa vita kwa nguvu zote. Au haka ni kamradi flani; tena kila mwaka? Yaani tumekubali kwamba njaa sasa ni "tatizo la kudumu" hasa hapo makao makuu ya nchi? AIBU!
 
Mkuu, WFP wamekuwa wakitoa chakula mashuleni katika mikoa yenye wafugaji wanaohamahama na pia yenye ukame kwa zaidi ya miaka kumi sasa, ni mradi walioubuni vizuri na wanasimamia wenyewe kwa kushirikiana ya selikari yetu tukutu. jamaa wanakomaa wenyewe na halmashauri hawawezi chakachua. mimi naishi katika moja ya mikoa hiyo inayofaidi matunda ya msosi mashuleni na it works. na hata hizo hela huwa hawawapi halmashauri ila huwa wananunulia chakula hapa hapa uswahilini. kama una nafasi mkuu changa usiog6pe.
 
Asante mkuu. Ila mkuu naomba nikusahihishe kidogo tu, siyo FAO ni WFP japo yanahusiana. UNWFP walikuwa ndani UNFAO kama idara huko nyuma na baadae walijitegemea kwa kuendelea na kazi za kuhudumia chakula kama jina lao linavyojinadi, United Nations World Food Programme na United Nations Food and Agricultural Organisation wakiendelea kuhudumia kilimo. wazo la kuchangia ni zuri kwa wananchi ili tuweze kulisha watoto wetu wenyewe kuliko kutegemea watu wageni. tunatuma kwa namba ipi sasa mkuu?

NAKUSHUKURU SANA Nangomboli---NAKUOMBA UPRINT HAYA MAWASILIANO NA NINAKUOMBA SANA KWA UZALENDO WAKO NA UZOEFU ULIONAYO NA KWA FAIDA YA NCHI YETU NA WATOTO WETU WANAOTESEKA KUPITA KIASI UTOE PHOTOPY ZA KUTOSHA HATA MIA MOJA NA KISHA HAKIKISHA ZINAFIKA OFISI ZOTE ZA WFP KABLA YA SAA KUMI NA MOJA JIONI HIYO KESHO, NA WAO SASA KESHO HIYO HIYO WAKUTANE NA WAZIRI MKUU ILI JUMANNE ASUBUHI -17.05.2011-BUNGE LIKUTANE KWA DHARURA NA KUPITISHA SHERIA KUWA UCHANGIAJI HUU ULIOPENDEKEZWA HAPA NI WALAZIMA NA UTAANZA HIYO TAREHE 29 MAY 2011 NA BAADA YA HAPO UTAKUWA UKIFANYIKA KILA TAREHE 7 YA KILA MWEZI KWA KIWANGO HICHO HICHO CHA SHILINGI 5,000/= AMBAPO KILA MWAKA ZITAKUWA ZIKIPATIKANA ZAIDI YA SHILINGI TRILLIONI 1.365 KILA MWAKA NA KILA SENTI ITAKUWA CHINI YA UDHIBITI MAKINI, SHUPAVU NA ULIOVUKA MIPAKA WA WFP
 
---NAKUOMBA UPRINT HAYA MAWASILIANO NA NINAKUOMBA SANA KWA UZALENDO WAKO NA UZOEFU ULIONAYO NA KWA FAIDA YA NCHI YETU NA WATOTO WETU WANAOTESEKA KUPITA KIASI UTOE PHOTOPY ZA KUTOSHA HATA MIA MOJA NA KISHA HAKIKISHA ZINAFIKA OFISI ZOTE ZA WFP KABLA YA SAA KUMI NA MOJA JIONI HIYO KESHO, NA WAO SASA KESHO HIYO HIYO WAKUTANE NA WAZIRI MKUU ILI JUMANNE ASUBUHI -17.05.2011-BUNGE LIKUTANE KWA DHARURA NA KUPITISHA SHERIA KUWA UCHANGIAJI HUU ULIOPENDEKEZWA HAPA NI WALAZIMA NA UTAANZA HIYO TAREHE 29 MAY 2011 NA BAADA YA HAPO UTAKUWA UKIFANYIKA KILA TAREHE 7 YA KILA MWEZI KWA KIWANGO HICHO HICHO CHA SHILINGI 5,000/= AMBAPO KILA MWAKA ZITAKUWA ZIKIPATIKANA ZAIDI YA SHILINGI TRILLIONI 1.365 KILA MWAKA NA KILA SENTI ITAKUWA CHINI YA UDHIBITI MAKINI, SHUPAVU NA ULIOVUKA MIPAKA WA WFP
Pumba! think pls, we are not kids here!
 
Mkuu, WFP wamekuwa wakitoa chakula mashuleni katika mikoa yenye wafugaji wanaohamahama na pia yenye ukame kwa zaidi ya miaka kumi sasa, ni mradi walioubuni vizuri na wanasimamia wenyewe kwa kushirikiana ya selikari yetu tukutu. jamaa wanakomaa wenyewe na halmashauri hawawezi chakachua. mimi naishi katika moja ya mikoa hiyo inayofaidi matunda ya msosi mashuleni na it works. na hata hizo hela huwa hawawapi halmashauri ila huwa wananunulia chakula hapa hapa uswahilini. kama una nafasi mkuu changa usiog6pe.

Mkuu nashukuru kwa kunihahakikishia michango yetu hataangukia mikononi mwa hili dude liitwalo halmashauri angalau kwa mfumo na utendaji wao wa sasa. Hata ripoti ya CAG inathibisha hilo. Sitashangaa tenda zote hadi za ku-supply kunde na makande shuleni ukasikia wamepeana madiwani au mwenyekiti wa halmashauri fulani tena kwa thamani ya mamilioni wakati hata Dada Mkuu tu angeweza kwenda na kapu sokoni na akafanya shoping ya uhakika.

Hata hivyo kabla ya kuchangia kuna haja ya serikali kutangaza kwamba njaa katika maeneo ya wafugaji ni janga la kitaifa. Hili likifanyika naamini wa-tz wengi watachangia kuwasaidia ndugu zetu hususan watoto wetu walioko mashuleni kwenye maeneo husika.
 
Jamani hìi ni school feeding programme na lengo ni kupromote watoto wasome huku wakipata chakula shuleni. Hii imesaidia watoto kwenda shuleni . Hufanyika kila mwaka duniani kote. Halmashauri hazihusiki kabisa.
 
Back
Top Bottom