FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,039
- 40,700
Kuna vitu ambavyo naturally utajikuta we mwenyewe unafanya tu kulingana na biological design; mfano kula misosi mitamu, kugegeda warembo,kunywa maji ya juice ya machungwa, kulala usingizi mnono nakadhalika nakadhalika.
Sasa je, hili suala la kubwia unga na kujidunga sindano huwa linaanziaga wapi?! maana mwili wala huwa hauitaji hivyo vitu in the first place, sasa nini kinasababisha mtu atumie at all mpaka inampelekea kua addicted?!
Baadhi ya watumiaji wa dawa za kulevya wakimsikiliza RCO kilimanjaro Linus Sinzumwa.
Msanii akiwa amedakwa huko China. Tumbo lake kama unavyoliona limevimba disproportionately kutokana na kujishindilia pipi za madawa kupitia njia ya haja kubwa.
Hapa teja anapata dawa yake baada ya kukaba na kupora watu kwenye vituo vya daladala.
NB: Arosto inapowashika huwa wanateseka mno! infact wenyewe wanadai arosto huwa inauma sana kiasi kwamba kama kuna bastola karibu anaweza akajipiga risasi ya kichwa ili apumzike na mateso.
Angalizo: Mtu mwenye mateso makali kiasi hicho hatofikiria marambili kukunyofoa koromelo lako ili achukue Iphone yako akapate dawa, kaeni mbali.
Kibaya zaidi watu wanfikiri kuwa msanii ni lazima utumie madawa. Nasikitika kusema hawa wote ni potential cadavers.
USHAURI: USIJARIBU MADAWA YA KULEVYA KAMA HUJAANZA. UKIANZA UTAJUTA MPAKA HATA UKIWA NDANI YA KABURI LAKO.
Sasa je, hili suala la kubwia unga na kujidunga sindano huwa linaanziaga wapi?! maana mwili wala huwa hauitaji hivyo vitu in the first place, sasa nini kinasababisha mtu atumie at all mpaka inampelekea kua addicted?!
Baadhi ya watumiaji wa dawa za kulevya wakimsikiliza RCO kilimanjaro Linus Sinzumwa.
Hapa teja anapata dawa yake baada ya kukaba na kupora watu kwenye vituo vya daladala.
NB: Arosto inapowashika huwa wanateseka mno! infact wenyewe wanadai arosto huwa inauma sana kiasi kwamba kama kuna bastola karibu anaweza akajipiga risasi ya kichwa ili apumzike na mateso.
Angalizo: Mtu mwenye mateso makali kiasi hicho hatofikiria marambili kukunyofoa koromelo lako ili achukue Iphone yako akapate dawa, kaeni mbali.
Hapa diouf akijisikia kama yuko peponi vile baada ya kupata dawa yake, ni kweli kabisa unakua kama uko peponi vile (wenyewe wanadai).
Kibaya zaidi watu wanfikiri kuwa msanii ni lazima utumie madawa. Nasikitika kusema hawa wote ni potential cadavers.
USHAURI: USIJARIBU MADAWA YA KULEVYA KAMA HUJAANZA. UKIANZA UTAJUTA MPAKA HATA UKIWA NDANI YA KABURI LAKO.