Mategemeo makubwa ya MAGAMBA kushinikiza mahakama itengue ubunge wa kamanda Lema ni;
- CDM kutokubali hivyo kuwahamasisha wafuasi wafanye fujo ndo maana walimwaga askari wengi.Nashukuru Uongozi wa CDM kuukwepa mtego huo kwani walitaka CDMkionekane chama cha fujo ili kuomba kura ya huruma kwa wananchi. CDM Tusifanye fujo kwani ni fursa nyingine ya kudhihirisha nguvu ya UMMA kwa MAGAMBA kwa kupiga kura.
- Walitegemea CDM wakate rufaa ili wapoteze muda na hata rufaa nayo kuchakachuliwa. CDM wameshtukia hakuna Rufaa tunarudi mzigoni na ushindi 100%.