mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 520
Wakazi wa Songea hawaamini macho na masikio yao baada ya SAUT kufungua chuo kikuu katika mji huo na wa Bukoba sasa hawatafunga safari ndeeefuuu tena kufuata elimu dar na kwingineko kufuata chuo. Shukrani za pekee ziliendee Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kwa kuratibu mpango mzima na kudhihirisha kuwa madhehebu ya dini yana manufaa katika mambo ya maendeleo zaidi ya kugombania kuonekana dini gani ndo ya Mnyaazi Mungu na kukashifu wengine katika midahalo isiyo na tija na kupoteza muda!!
Last edited by a moderator: