Je mnahitaji vyama vya siasa kuwa na matawi nje ya Tanzania?

Asha Abdala

JF-Expert Member
Mar 21, 2007
1,130
44
Eti wewe

Matawi ya juu na matawi ya majuu. CCM walifungua tawi la chama chao uingereza. CUF nao walifungua. CHADEMA nao wanamawakala wao.

Sheria ya vyama iko kimya kuhusu matawi haya. Lakini sheria inaruhusu chama kuwa na makundi ya nje ya wananchi wa tanzania yanayokiunga mkono chama.

Maswali yangu kwa watanzania wa nje.

Je, mnahitaji matawi ya vyama vya siasa vya Tanzania huko mlipo? Kama ndio; yaanzishwe kwa mfumo na utaratibu gani? Na je; yafanye kazi gani za kisiasa?

Nauliza haya kwa kuwa wengi mnaonesha mnaguswa na hali ya taifa ilivyo ilihali nyinyi ni wachangiaji wakubwa wa pato la Tanzania kwa fedha mtumazo kutoka huko mlipo.

Na inaelekea wengi wenu mnataka kuwa wadau wakuu wa uchaguzi 2010.

Nawaombeni mjadili maswali haya kwa kina.

Atakayechangia vizuri zaidi nitampa ile zawadi niliyonayo.

Asha
 
Eti wewe

Matawi ya juu na matawi ya majuu. CCM walifungua tawi la chama chao uingereza. CUF nao walifungua. CHADEMA nao wanamawakala wao. Sheria ya vyama iko kimya kuhusu matawi haya. Lakini sheria inaruhusu chama kuwa na makundi ya nje ya wananchi wa tanzania yanayokiunga mkono chama. Maswali yangu kwa watanzania wa nje: Je, mnahitaji matawi ya vyama vya siasa vya Tanzania huko mlipo? Kama ndio; yaanzishwe kwa mfumo na utaratibu gani? Na je; yafanye kazi gani za kisiasa? Nauliza haya kwa kuwa wengi mnaonyesha mnaguswa na hali ya taifa ilivyo ilihali nyinyi ni wachangiaji wakubwa wa pato la Tanzania kwa fedha mtumazo kutoka huko mlipo. Na inaelekea wengi wenu mnataka kuwa wadau wakuu wa uchaguzi 2010. Nawaombeni mjadili maswali haya kwa kina. Atakayechangia vizuri zaidi nitampa ile zawadi niliyonayo....

Asha
Japo mi si 'mmoja wao' lakini ningekuwa motivated zaidi kama ningejua hiyo 'zawadi' uliyonayo ni ipi?

asante
 
Eti wewe

Matawi ya juu na matawi ya majuu. CCM walifungua tawi la chama chao uingereza. CUF nao walifungua. CHADEMA nao wanamawakala wao. Sheria ya vyama iko kimya kuhusu matawi haya. Lakini sheria inaruhusu chama kuwa na makundi ya nje ya wananchi wa tanzania yanayokiunga mkono chama. Maswali yangu kwa watanzania wa nje: Je, mnahitaji matawi ya vyama vya siasa vya Tanzania huko mlipo? Kama ndio; yaanzishwe kwa mfumo na utaratibu gani? Na je; yafanye kazi gani za kisiasa? Nauliza haya kwa kuwa wengi mnaonyesha mnaguswa na hali ya taifa ilivyo ilihali nyinyi ni wachangiaji wakubwa wa pato la Tanzania kwa fedha mtumazo kutoka huko mlipo. Na inaelekea wengi wenu mnataka kuwa wadau wakuu wa uchaguzi 2010. Nawaombeni mjadili maswali haya kwa kina. Atakayechangia vizuri zaidi nitampa ile zawadi niliyonayo....

Asha
Aseee ya siku nyingi hii thread!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom