Nitafute mimi nikupe dawa mke wako apate kushika mimba.Mke wangu hashiki mimba pia kwa mwezi anaingia mp mara 2. naombeni msaada wa tatizo langu.
Huwa simuelewagi mzizi mkavu mara nyingi naposoma andiko lako unandika kama dawa zote za magonjwa unayo. Unasema utampa dawa mke wake ashike mimba je kama mwanaume ni mgumba je hizo dawa utakazompa zitasaidia nn au zitakuwa msaada gani kwa mume mgumbaNitafute mimi nikupe dawa mke wako apate kushika mimba.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
Mkuu mimi huwa simtibu mtu mpaka aende kupima Hospitali apate uhakika anayo hayo maradhi ndio hapo mimi huwa ninatoa dawa zangu simtibu mtu kwa kubahatisha. Ninahakikisha amekwenda kupima Hospitali na anacho umwa ninajuwa ni nini ndio hapo ninapo anza kumtibia mgonjwa wangu.Huwa simuelewagi mzizi mkavu mara nyingi naposoma andiko lako unandika kama dawa zote za magonjwa unayo. Unasema utampa dawa mke wake ashike mimba je kama mwanaume ni mgumba je hizo dawa utakazompa zitasaidia nn au zitakuwa msaada gani kwa mume mgumba