Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,857
Dkt Shika kaondoka kwa figo kufeliSABABU ZA MAGOJWA YA FIGO. JIHADHARI NA ONYEKA!.
Raia wa Ghana wanazidi kufa kwa matokeo ya ugonjwa wa Figo...
dkt Shika kaondoka kwa figo kufeli
SABABU ZA MAGOJWA YA FIGO. JIHADHARI NA ONYEKA!.
Raia wa Ghana wanazidi kufa kwa matokeo ya ugonjwa wa Figo...
jaji mfawidhi,
Good job !! Ila apo mwisho cjakuelewa tunda la kati ndio nn apple au
Unaweza kuongeza na kupunguza matumizi ya starch, lakini pamoja na yote haya mwisho wa siku utarest in peaceNajaribu kuachana na matumizi yaliyozidi ya sukari na chumvi .
Siku ya Tano leo sijatumia sukari Kama sukari ,zaidi ya inayopatikana kwenye chakula(glucose)...
Hata wewe it's rest in peaceUnaweza kuongeza na kupunguza matumizi ya starch, lakini pamoja na yote haya mwisho wa siku utarest in peace
"Vitu salama ni bangi na maji"Mkuu soda ndio hatari hasa zero sugar zote ni hatari. Vitu Salama ni bangi na Maji baas Zina boost body immune system nakukufanya uishi maisha marefu yenye furaha
Pamoja na yote hayo uliyoyasema ujitahidi kunywa maji ya kutosha ili kulifanya Figo lako lipate kufanya kazi vizuri.Mkuu tunakushukuru kwa uzi huu, ni imani yangu kuwa utawasaidia wengi sana naomba kuuliza maandiko mengine yanasema kuwa unywaji wa maji unategemea na mazingira unayoishi na kazi unayofanya mfano anaeishi Dar es salaam ni tofauti na anaishi Iringa anaefanya kazi ofcn ni tofauti na anaebeba mizigo.
Tiba ya Figo kufeli ipo dawa yake.Dkt Shika kaondoka kwa figo kufeli
hakuna, kadanganye wasukuma wenzako huko simiyu.Tiba ya Figo kufeli ipo dawa yake.
Mkuu watu wanapelekwa nchin india kwa ajili ya Deal hiyo ili hao wapelekaji wapate pesa wakati dawa zipo za kutibu maradhi ya figo na maradhi yote hata huo Ukimwi unatibika na watu wanapona. Itakuwa huo ugonjwa wa figo? Mkuu Umeshanipeleka usukumani mimi ? nimekuwa mimi ni Msukuma leo kukwambia dawa ya kutibu maradhi ya figo kufeli ipo?Asante Mkuu.
Dr sebi mucus is the cause of all disease
Hivi MziziMkavu upo hapa hapa Dar au wapi?Tiba ya Figo kufeli ipo dawa yake.
Bwana Yesu hawezi kutibu Ukimwi na hakuletwa hapa dunia kuwa ni mtibabu Bwana Yesu.UKIMWI najua Yesu anaponya, hata figo ila kwa watu wenye imani na walio okoka.
Mkuu unanihataji?Hivi MziziMkavu upo hapa hapa Dar au wapi?