abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habar wadau
Shida kubwa ilio ikumba serikal yetu ni viongoz kua wavivu na kupelekea kutafuta njia Rahisi za kukusanya kodi na kuacha kusimamia zile za awali kwa Nidham ya kazi mfano
Tannesko Tanzania Kuna watu Zaid ya MA Milion wanasubir kupelekea huduma za umeme bila mafanikio yoyote Tena watu ambao wangepelekewa umeme wangeweza kuchangia serikal kila Wana nunua kuku
Tanesko wamekua hawajal kabisa mfano mimi Mwenyewe Nina nyumba yangu Ina miezi 2 Sasa sijapewa hata control number nikalipie Ile 27 yao
Pili serikal ingeimiza uzalendo wa kudai Risit kama mwanzo ili kuakikisha wafanya biashara hawakwep kodi kipindi cha Magufuli TRA walikua bize kutoa Elim ya kudai risit kukusanya kodi na kuwabana wezi wote walio kua wanajaribu kupitia mlango wa nyuma
Na mambo mengine mengi serikal ili iparform vizur ijitasmin Tena mawazir wasiwe watembezi tu Bali wawe wafanya kazi Waache kutuambia tuhamie Burundi kisa hela zetu wenyewe wao wanakua wakal kwenye hela zetu sisi tukishika zao kelele za uhujum uchum na kufungwa zinakua nyingi
Shida kubwa ilio ikumba serikal yetu ni viongoz kua wavivu na kupelekea kutafuta njia Rahisi za kukusanya kodi na kuacha kusimamia zile za awali kwa Nidham ya kazi mfano
Tannesko Tanzania Kuna watu Zaid ya MA Milion wanasubir kupelekea huduma za umeme bila mafanikio yoyote Tena watu ambao wangepelekewa umeme wangeweza kuchangia serikal kila Wana nunua kuku
Tanesko wamekua hawajal kabisa mfano mimi Mwenyewe Nina nyumba yangu Ina miezi 2 Sasa sijapewa hata control number nikalipie Ile 27 yao
Pili serikal ingeimiza uzalendo wa kudai Risit kama mwanzo ili kuakikisha wafanya biashara hawakwep kodi kipindi cha Magufuli TRA walikua bize kutoa Elim ya kudai risit kukusanya kodi na kuwabana wezi wote walio kua wanajaribu kupitia mlango wa nyuma
Na mambo mengine mengi serikal ili iparform vizur ijitasmin Tena mawazir wasiwe watembezi tu Bali wawe wafanya kazi Waache kutuambia tuhamie Burundi kisa hela zetu wenyewe wao wanakua wakal kwenye hela zetu sisi tukishika zao kelele za uhujum uchum na kufungwa zinakua nyingi