kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,557
- 2,626
Wadau mama yangu anasumbiliwa na matatizo haya toka mwaka 1982 anahisi vidonda vya tumbo hajawahi kupima,hii ni sms yake aliyonitumia kashindwa kwenda kazini anaumwa Nina tatizo nikila mboga zenye nyanya tumbo linauma naharisha kinyesi cha njano vidonda kooni haviponi koo linawasha sana kama fangus, pua, masikio, macho na upande wa kulia unauma kwa ndani kama kuna kidonda linakua lamoto sana, miguu inawaka moto kama nimeungua pia inavimba sana kwenye kiungio cha kukakanyaga