247
Senior Member
- Mar 29, 2016
- 188
- 197
Habari wana Jf
Kuna mschana alijifungua akiwa na umri mdogo kwahiyo alifanyiwa operation kwenye njia ya kizazi ili mtoto apite (Episiotomy). Sasa tatizo ni kwamba analalamika sehemu zake za siri zinavuta sana kwa ndani
sana sana wakati wa baridi.
Jinsi gani anaweza solve hili tatizo?
Kuna mschana alijifungua akiwa na umri mdogo kwahiyo alifanyiwa operation kwenye njia ya kizazi ili mtoto apite (Episiotomy). Sasa tatizo ni kwamba analalamika sehemu zake za siri zinavuta sana kwa ndani
sana sana wakati wa baridi.
Jinsi gani anaweza solve hili tatizo?