Matatizo mengi tunayatengeneza wenyewe

singojr

JF-Expert Member
Oct 28, 2014
5,308
6,884
1. Tatizo la umeme - Palikuwa na sababu gani ya umeme kukatika katika wakati walipotumbuliwa tu vigogo wa TANESCO tatizo likaisha.

2. Kulikuwa na tatizo gani mradi wa Udart- sahivi magari yapo ya kutosha na hakuna kuwekana kwenye foleni muda mrefu.

3. Tatizo la ukosefu wa madarasa kila mwaka mpya wa masomo mpaka kuwe na second selection. Mbona sasa madarasa yamekamilika baada ya Ummy Mwalimu kushuka wizara.

4. Tatizo la bei ndogo ya mazao. Mbona sera zimekaa sawa sahivi mbaazi na korosho bei imeanza kuwa nzuri.

Sasa tumetengeneza tatizo la wamachinga ambalo nalo tunaenda kulitatua. Kwanini kasi hii hii isiende mpaka NIDA ambao hawatoi vitambulisho?
 
Tengeneza tatizo kumwondoa fulani, na tatua tatizo ili "kumpaisha" fulani

Inabidi anayetengeneza tatizo abebeshwe zigo ili tuamini matatizo hayatengenezwi. Ikiwemo kushtakiwa.
 
IMG_20210926_235247_440.JPG
laana ya nchi ni KUABUDU MIUNGU MINGINE KAMA HII. TANZANIA TUNA MIUNGU MINGI SANA NDIO LAANA ILIPOANZIA.
cc CHIEF HANGAYA
 
1. Tatizo la umeme- palikuwa na sababu gani ya umeme kukatika katika wakati walipotumbuliwa tu vigogo wa TANESCO tatizo likaisha.
2. Kulikuwa na tatizo gani mradi wa UDart- sahivi magari yapo ya kutosha na hakuna kuwekana kwenye foleni muda mrefu.
3. Tatizo la ukosefu wa madarasa kila mwaka mpya wa masomo mpaka kuwe na second selection. Mbona sasa madarasa yamekamilika baada ya Ummy Mwalimu kushika wizara.
4. Tatizo la bei ndogo ya mazao. Mbona sera zimekaa sawa sahivi mbaazi na korosho bei imeanza kuwa nzuri.

Sasa tumetengeneza tatizo la wamachinga ambalo nalo tunaenda kulitatua. Kwanini kasi hii hii isiende mpaka NIDA ambao hawatoi vitambulisho?
Uongozi mzima wa Chama Chama Magaidi CCM unapaswa ku step down kwa mustakabalii mzima wa taifa letu
 
Back
Top Bottom