Matatizo makubwa ya wanaume chumbani

Mpaka Sasa mbona sijaona hata binti mmoja akitetea miguu ya mtoto?!
Wamejificha wapi?
 
Nawasalimia wanaume wote wenye vibamia.

Binafsi nasema hivi msidanganyike na hayo makorokoro aliyoyaweka Leo Mshana Jr wengine sisi ni wapenzi wa hivyo vibamia ila tu kisiwe lege lege.
Kibamia kinachosimama Dede ni kitramuuu acha kabisa

Njoo dm nkujojoleshe basi
 
Ukiondoa tatizo la low sperm count, (hili haliathiri ufanyaji)

Tatizo lenu kubwa wanaume ni kutokujiamini (lack of confidence).

Tumia vizuri kibamia, Tumia vizuri dakika zako chache, utafurahia na kumfurahisha mwenzio...
😃😃😃hizi huwa faraja tu.Kuna kina dada wana mashine diameter kubwa aisee, na wamezoea mipini.Inabidi ukubaliane tu na hali yako utafute kipimo chako vinginevyo hauwezi mkuna vizuri jamani.Tukubaliane tu kuwa ndio life liko hivyo
 
42 Reactions
Reply
Back
Top Bottom