Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,645
- 155,015
- Dubwana kugoma kupanda mtungi.
- Kibamia
- Low sperm count
- Dubwana legelege.
- Wanaume wana matatizo tofauti tofauti, lakini wanajifariji kwa tiba feki ambazo hazina mashiko, Mara karanga mbichi, mchuzi wa pweza, mihogo mibichi, vumbi la Kongo etc
- Acha ufala kama una tatizo, achana na hayo maujinga ya mtandaoni, Nenda hospitalini, sio kila MTU ana tatizo kama lako