Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka mke akiwa mja mzito hatapiki hovyohovyo!!!!!!
Huwa anatapika tu sababu zinajulikana kisayansi mpaka kijamii, mwanamke anapokubali kukubenea uja uzito kakuheshimu sana unless hamkujadili kabla ila sio jambo dogo anyhow!!!!!
Kaa naye zungumza naye kubali mabadiliko yake na uishi naye kwa hali yake,wanapata taabu sana kipindi hiko naongea kwa uzoefu ila ukitulia na kuelewana naye anapata ahueni japo ya kisaikolojia tu!!!!
Kizunguzungu inaweza kuwa kawaida ila lazima uondoe sababu zote zinazosababisha hii hali ili ujue kweli ni uja uzito same na kichefuchefu!!!!!!
Mbadilishie mlo apate ule aupendao na unaweza kuupata kwa kipato chako,mfuatilie ili aone unajali yeye kula mpigie wakati wa chakula na kama upo karibu nenda kabisa!!!
Ikizidi nenda hospital watakupa dawa ya kutuliza na.kukata mate!!!! Labda Nosic ua nyingine!!!!
Kongosho, ASHA dii, Ennie, Karucee, King'asti, gfsonwin, Fixed Point, Kaunga, BADILI TABIA na wadada na wakaka wenzangu wenye wazoefu wa hili tumsaidie memba wa klabu ya uzazi na malezi
word!Kaka mke akiwa mja mzito hatapiki hovyohovyo!!!!!!
Huwa anatapika tu sababu zinajulikana kisayansi mpaka kijamii, mwanamke anapokubali kukubenea uja uzito kakuheshimu sana unless hamkujadili kabla ila sio jambo dogo anyhow!!!!!
Kaa naye zungumza naye kubali mabadiliko yake na uishi naye kwa hali yake,wanapata taabu sana kipindi hiko naongea kwa uzoefu ila ukitulia na kuelewana naye anapata ahueni japo ya kisaikolojia tu!!!!
Kizunguzungu inaweza kuwa kawaida ila lazima uondoe sababu zote zinazosababisha hii hali ili ujue kweli ni uja uzito same na kichefuchefu!!!!!!
Mbadilishie mlo apate ule aupendao na unaweza kuupata kwa kipato chako,mfuatilie ili aone unajali yeye kula mpigie wakati wa chakula na kama upo karibu nenda kabisa!!!
Ikizidi nenda hospital watakupa dawa ya kutuliza na.kukata mate!!!! Labda Nosic ua nyingine!!!!
Kongosho, ASHA dii, Ennie, Karucee, King'asti, gfsonwin, Fixed Point, Kaunga, BADILI TABIA na wadada na wakaka wenzangu wenye wazoefu wa hili tumsaidie memba wa klabu ya uzazi na malezi