Matata bado meya halali wa manispaa ya Ilemela

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilemela ndg Henry Matata bado anaendelea kukaklia kiti kama Meya wa manispaa ya Ilemela kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka ndani ya jiji la mwanza.

Taarifa zilizopatikana jana na kuwafikia wadau mbalimbali ambapo kama kawaida ya watanzania waliowengi kuchukulia mambo kishabiki bila kufanya utafiti wa kina .

Waliingia mitaani na kwenye mitandao ya kijamii wakisherehesha kionjo hiki kuwa MATATA KAFUKUZWA UMEYA BAADA YA KUSHINDWA KESI ALIYOKUWA AMEFUNGUA MAHAKAMA YA MWANZO YA KUPINGA KUVULIWA UANACHAMA DHIDI YA BODI YA WADHAMINI.

Kilichofanyika jana na mlalamikaji ambae ni Matata ni kufuta kesi hiyo aliyoifungua mahakama ya hakim mkazi huku AKIWA NA KESI YA AINA HIYOHIYO MAHAKAMA KUU KANDA YA MWANZA,hivyo basi Matata ameendelea kuwa diwani wa mahakama na Mstahiki Meya wa manispaa ya ilemela Kisheria..karibuni
 
siunajua wote wanaakili za baba colin babu s ndiomaana wanakurupuka kipofi haoni kibao kilichoandikwa hatari mpaka umshike mkono dawayao kuwashika mikona na kuwapa kadi kama babu padiri hiyo kadi alikabiziwa na jk nyerere aicc simba grl yeye na kikwete sindo maana anaiifadhi
 
siunajua wote wanaakili za baba colin babu s ndiomaana wanakurupuka kipofi haoni kibao kilichoandikwa hatari mpaka umshike mkono dawayao kuwashika mikona na kuwapa kadi kama babu padiri hiyo kadi alikabiziwa na jk nyerere aicc simba grl yeye na kikwete sindo maana anaiifadhi

Jifunze kuandika wewe
 
'Matata anaendelea kuwa diwani wa mahakama...'
Really?
Sijui ulikuwa unafukuzana na nani kupost hii habari.
 
Mkuu mbona unapotosha.
Ni kesi ipi na lini Matata. amefungua Mahakama kuu kanda ya Mwanza? Ni lini hiyo kesi imetajwa?

Kesi ya msingi ni ipi?
 
Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilemela ndg Henry Matata bado anaendelea kukaklia kiti kama Meya wa manispaa ya Ilemela kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka ndani ya jiji la mwanza.

Taarifa zilizopatikana jana na kuwafikia wadau mbalimbali ambapo kama kawaida ya watanzania waliowengi kuchukulia mambo kishabiki bila kufanya utafiti wa kina .

Waliingia mitaani na kwenye mitandao ya kijamii wakisherehesha kionjo hiki kuwa MATATA KAFUKUZWA UMEYA BAADA YA KUSHINDWA KESI ALIYOKUWA AMEFUNGUA MAHAKAMA YA MWANZO YA KUPINGA KUVULIWA UANACHAMA DHIDI YA BODI YA WADHAMINI.

Kilichofanyika jana na mlalamikaji ambae ni Matata ni kufuta kesi hiyo aliyoifungua mahakama ya hakim mkazi huku AKIWA NA KESI YA AINA HIYOHIYO MAHAKAMA KUU KANDA YA MWANZA,hivyo basi Matata ameendelea kuwa diwani wa mahakama na Mstahiki Meya wa manispaa ya ilemela Kisheria..karibuni


Sijakuelewa vyema hapo uliposema 'ataendelea kuwa diwani wa mahakama na msahiki meya wa Manispaa ya Ilemela kisheria"

Kwa nini isiwe pia ataendelea kuwa "mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilemele wa mahakama?" uliogopa nini kutamka hilo ambalo ni la ukweli pia - kwani kwa kuwa aliwekwa (alirudishwa) udiwani na mahakama, udiwani ambao ulimuwezesha kupata umeya, basi hata huo umeya ni wa mahakama. Au?

Na kwa nini alifungua kesi mbili? Aliogopa kushindwa -- kwamba akishindwa moja , basi ataendelea kuinjoi umeya kutokana na kesi ya pili.
 
Duh moyo wangu umevunjika mimi nilikuwa mmoja wa wale waliofurahi sina la kusema naomba basi mungu amtende kitu kama kupofuka macho,kupata kiarusi,kansa ya ubongo nakadharika manake kidunia amewekwa na wajanja

Hivi anajisikiaje mpaka wananchi wanafurahia anguko lake inaelekea roho yake yakijambazi haijali
 
Sijakuelewa vyema hapo uliposema 'ataendelea kuwa diwani wa mahakama na msahiki meya wa Manispaa ya Ilemela kisheria"

Kwa nini isiwe pia ataendelea kuwa "mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilemele wa mahakama?" uliogopa nini kutamka hilo ambalo ni la ukweli pia - kwani kwa kuwa aliwekwa (alirudishwa) udiwani na mahakama, udiwani ambao ulimuwezesha kupata umeya, basi hata huo umeya ni wa mahakama. Au?

Na kwa nini alifungua kesi mbili? Aliogopa kushindwa -- kwamba akishindwa moja , basi ataendelea kuinjoi umeya kutokana na kesi ya pili.

waache tu hao wasaliti na mabwana zao waendelee kuchezea haki. Wataaibika tu -- iko siku!
 
Anapaswa kusimamishwa umeya kama ameshindwa kesi ya kufukuzwa udiwani xaxa huo umeya anautoa wapi?? Hebu huyo matata kama jina lake afukuzwe umeya kwan mazingira yanaonesha kuwa ametumwa na ccm na serikali yake ili kudhorotesha kasi ya chadema manispaa ya ilemela kupitia baraza la madiwan.hana jipya huyo matata
 
Asubuhi kaamka na kuzungukia vijiwe vyote huku akijitamba kuwa yeye ni meya.Chakushangaza akiurizwa kuhusu kesi hiyo anasema yeye kaja kuwahakikishia kuwa yeye bado meya.Wana jamvi napenda kuwapa moyo kuwa huyu jamaa ni mda mfupi atashika adabu.Nasema haya baada ya kushuudia upinzani alionao Mwanza nzima na baada ya kuingia katika soko la dagaa na samaki MWALONI,kazomewa na kufukuzwa,ndipo alipotaka kuchomoa bastora dereva akamzuia na akamchapa vibao dereva wake.Baada ya hapo akafukuzwa na madereva pikipiki.Ni tukio la majira ya saa mbili .
 
Asubuhi kaamka na kuzungukia vijiwe vyote huku akijitamba kuwa yeye ni meya.Chakushangaza akiurizwa kuhusu kesi hiyo anasema yeye kaja kuwahakikishia kuwa yeye bado meya.Wana jamvi napenda kuwapa moyo kuwa huyu jamaa ni mda mfupi atashika adabu.Nasema haya baada ya kushuudia upinzani alionao Mwanza nzima na baada ya kuingia katika soko la dagaa na samaki MWALONI,kazomewa na kufukuzwa,ndipo alipotaka kuchomoa bastora dereva akamzuia na akamchapa vibao dereva wake.Baada ya hapo akafukuzwa na madereva pikipiki.Ni tukio la majira ya saa mbili .
Na iwe hivyo ili kila afikilipo ajue kila mtu anamjua hastahili
 
mbona magamba wanamshadadia sana aendelee kuwa meya? kunanini nyuma ya pazia
 
Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilemela ndg Henry Matata bado anaendelea kukaklia kiti kama Meya wa manispaa ya Ilemela kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka ndani ya jiji la mwanza.

Taarifa zilizopatikana jana na kuwafikia wadau mbalimbali ambapo kama kawaida ya watanzania waliowengi kuchukulia mambo kishabiki bila kufanya utafiti wa kina .

Waliingia mitaani na kwenye mitandao ya kijamii wakisherehesha kionjo hiki kuwa MATATA KAFUKUZWA UMEYA BAADA YA KUSHINDWA KESI ALIYOKUWA AMEFUNGUA MAHAKAMA YA MWANZO YA KUPINGA KUVULIWA UANACHAMA DHIDI YA BODI YA WADHAMINI.

Kilichofanyika jana na mlalamikaji ambae ni Matata ni kufuta kesi hiyo aliyoifungua mahakama ya hakim mkazi huku AKIWA NA KESI YA AINA HIYOHIYO MAHAKAMA KUU KANDA YA MWANZA,hivyo basi Matata ameendelea kuwa diwani wa mahakama na Mstahiki Meya wa manispaa ya ilemela Kisheria..karibuni

Anaendelea kuwa meya kwa tiketi ya chama gani?kama kesha futa kesi aliyoifungua mwenyewe ina maana kakubaliana kimsingi na maamuzi halali ya kumvua uanachama,labda kama kuna sheria nyingine inayomruhusu kuendelea kukalia kiti cha umeya huku akiwa si meya kikanuni.
 
Huku AKIWA NA KESI YA AINA HIYOHIYO MAHAKAMA KUU KANDA YA MWANZA,hivyo basi Matata ameendelea kuwa diwani wa mahakama na Mstahiki Meya wa manispaa ya ilemela Kisheria..karibuni

Ingekuwa kisheria asingekuwa na kesi mahakamani, ana kesi inayosubiri maamuzi ya kisheria. Usisahau alikwisha fukuzwa uanachama wa Chadema; kwa hiyo usimuhusishe umeya wake na uanachama wa CDM. Ni mporoji tu asubiri hukumu kama siyo ya mahakama ya umma au ya CCM
 
Matata anakumbana na moja ya vitu vibaya zaidi duniani, kupambana na kukataliwa kwenu ni kitu cha hovyo kabisa. muulizeni anajisikiaje kwa kukosa huo umeya atawajibu.

Nawapongeza chadema kwa kuthubutu kuonesha kuwa katiba ya chama ndio inaongoza yote na wala sio nafasi ya mwanachamaa ndani ya chama. endapo ccm wangeongozwa kwa kuzingatia katiba yao, TZ ingekuwa ya mfano mzuri duniani
 
Matata na CCM wanapoteza muda tu. Ajifunze kwa waliokuwa madiwani kupitia CHADEMA Arusha pamoja na fedha walizopewa na CCM mwishowe walishindwa. Hiyo kesi nyingine aliyofungua matata inahusu nini? aliifungua lini?
 
Back
Top Bottom