Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
yaani hilo baba lenye miwani mi nilikuwa naliombea Mungu kweli limalizie maisha yake segerea lilikuwa jirani yetu yaani na kajumba kachafu gafla akakavunja aliporomosha nyumba zakina papa kila mmoja akaogopa ...baada ya muda akahama..akapangisha ,pemben emeweka kajumba kadogo akawa anafanya ofisi yake ya kuelewana na matapeli wa viwanja gafla nikasikia kanunua nyumba mbezi beach...pili ni katili sana hana utu kabisa nafikiri ni zile za viwanja zilimchanganya sana
Kazi kwenu
Kazi kwenu