Mugabe Tz
Senior Member
- Apr 6, 2016
- 196
- 215
Upuuzi mtupu sijaona tapeli wa maana kwenye hiyo list yako
Mkuu eb wewe tupatie list yako ambayo ni ya "maana" maana unaidharau hii
Upuuzi mtupu sijaona tapeli wa maana kwenye hiyo list yako
Duh6. ONTARIO NA THE BOLD.
Ndio usishangae,Ni matapeli wamewapiga sana watu Kupitia FOREX.6. ONTARIO NA THE BOLD.
Sure hao ndo wapigajilist yako ni fake.kuna matapeli sijawaona.
papa msofe,ndama mtoto wa ng'ombe,ostaz juma na musoma,cheif kiumbe nk.
Ingelikuwa enzi za watemi, hiyo avatar, angeliwabeba wote akaoa akaweka ndani.
Haha haha mecheka Kwa sautiHii ilikuwa hekaheka mawaziri walipanga foleniView attachment 383804 View attachment 383804