monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,478
- 13,009
Mwanangu ww ni bonge la mswahili,unamaanisha nn?Huyo batenga nyumba yake c ile office ya knightsupport pale victoria
Hahahaaaaa jicho moja hilo utalipoteza nalo
Mwanangu ww ni bonge la mswahili,unamaanisha nn?Huyo batenga nyumba yake c ile office ya knightsupport pale victoria
Hahahaaaaa jicho moja hilo utalipoteza nalo
HahahaahhahaBaba jesca
Kuna jamaa yangu mmoja nikiwa chuo alitaka kuniunganisha na hao forever living,nikafanya tathimini nikagundua ni utapeli mtupu!Forever ling ndio DECI ya kisasa, kuweni makini!
Inasemekana baadhi ya matapeli huwa wanatumia nguvu za giza,he jamabo hili linaukweli ndani yake?Kuna matapeli ambao wangetumia hii akili kufanya ujasiriamali hata bakresa ungetupa kule!kuna siku nikiwa safarini kutoka moshi kwenda arusha njiani pale kia costa ilisimama wakapanda masai wawili na jamaa mmoja.wale masai wakasimama mbele yule aliepanda pia akawa anajisonga hadi akafika nyuma kabisa ya basi safari ikaendelea kufika katikati sehemu hakuna kituo yule jamaa kule nyuma akaanza kupaza sauti ashushwe hapo ikawa anabishana na konda ila jamaa akawa mkali anawaka hadi abiria wakaingilia kwamba jamaa ashushwe mbona hata wao costa wanapakia sehemu hakuna vituo basi washushe pia pasipokuwa na vituo!costa ikasimama jamaa akaanza kujivuta polepole kama kinyonga konda akawaka unatupotezea muda shuka fasta jamaa ndo kwanza anajivuta!ile amefika mlangoni tayari RAV4 imeblock mbele wakashuka jamaa wawili wana makoti kama askari wakamkamata yule jamaa wakampa vifuti vya kutosha kwa wewe jambazi leo tumekukamata siku nyingi unatafutwa haya onyesha wenzio wako wapi?!akawataja wale masai wote wakaingizwa kwenye Rav4 wakasepa kumbe masai walikuwa na madini ya tanzanite wanaenda kuuza arusha.ule mchezo niliuelewa mwishoni baada ya kutafakari nikacheka tu
7. Chadema imo.6. Chama cha mapinduzi
ongezea na ccm kwa kuwatapeli wananchi wasio na uelewa kwa hoja nyepesi nyepesi ili iweze kupigiwa kura kila mara
Hapo kwenye kutapeli suit duuuhAhahahahaha Batenga alikuwa legend kweli sekta hii!
Aliwahi kuingia dukani kuulizia suit,akaipenda moja.akuliza chumba cha kujaribu ili akaonyeshwa kuingia kapiga uzi wake fresh paap akatoka!
Wauzaji, mzee vip?
Akaanza kuwashangaa wao,kwani vp kijana?
Mzee suti hujalipia
Nyie vijana mna akili kweli,ina maana mimi nimekuja U.chi hapa?
Huyooooooo anafungua mlango,taartiiiiiibu anaambaa na samora!
Hiyo Tisa,
Lile jengo la ghorofa moja pale Victoria unalikumbuka habari yake?
Batenga habari nyingine!
..lugumilist yako ni fake.kuna matapeli sijawaona.
papa msofe,ndama mtoto wa ng'ombe,ostaz juma na musoma,cheif kiumbe nk.
Mkuu imefia wapi ileferyYule wa fery ya Bagamoyo?