Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kariakoo kwenyewe wanakuliza tembelea uone na uwe na pesaKwa mtindo huu hawanipati ng'odoooo!!!
Kwa kweli hapa mkuu wengi tungeokotwa kama sio hii alert, asante kwa kutuletea hapa.Hapa tusidanganyane, watapatikana wengi sana! Thanks for the alert!
Kariakoo kwenyewe wanakuliza tembelea uone na uwe na pesa
hehehehehehe!Asante pape. Lakini nina swali. Watrack vipi wakati bongo hakuna mitaa? Labda kama wanatumia GPS.
Naona itakuwa ni sawa na kukufuata physically.
Lakini wakiingia kwangu wamekwisha. Lazima nizae nao halafu ndo niite polisi waje kuchukua mizoga.
Kwani Nairobi ni sayari ya mars?jamaa katoa tahadhari dunia ni kijiji wajameni