kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Sabaya aliwahi kutumia kitambulisho Cha TISS akabainika ila kesi yake ikafutwa akateuliwa kuwa DC
Shinyanga amekamatwa Mwalimu mwenye kitambulisho Cha JWTZ pamoja na official documents za chombo hiki nyeti akituhumiwa kufanya utapeli.
Uhamiaji tumeona hivi karibuni wakitoa adhabu huku wakimtaka mtuhumiwa kujua Serikali ipo macho baada ya mtuhumiwa kuingia kwa wadosi wa ofisi hiyo nakuwatisha ni Afisa wa TAKUKURU.
Polisi Dar walimkamata raia mmoja aliyekuwa anatumia uniform za polisi kutapeli na kujipati fedha kwa wananchi.
Watu hawa wote nikizisoma sheria za nchi haziwatambui kama wahaini badala yake sheria zinazowabana ni laini kiasi kwamba hata hukumu zao zinawavutia kujinoa zaidi.
Je, kwanini watu Hawa wamejijengea hii confidence ya kialifu wakati zamani tulikuwa tunaviogopa na kuvihofia vyombo vyetu?
Lakini kwanini tunawatetea sana Hawa watu hatuoni tunawapa nguvu na kuwafanya wasiviheshimu vyombo vyetu? Huu usugu unaotengenezwa unatokana na msukumo wa kisiasa au wakuu wa vyombo wamepoteza wivu na vyombo hivi?
Shinyanga amekamatwa Mwalimu mwenye kitambulisho Cha JWTZ pamoja na official documents za chombo hiki nyeti akituhumiwa kufanya utapeli.
Uhamiaji tumeona hivi karibuni wakitoa adhabu huku wakimtaka mtuhumiwa kujua Serikali ipo macho baada ya mtuhumiwa kuingia kwa wadosi wa ofisi hiyo nakuwatisha ni Afisa wa TAKUKURU.
Polisi Dar walimkamata raia mmoja aliyekuwa anatumia uniform za polisi kutapeli na kujipati fedha kwa wananchi.
Watu hawa wote nikizisoma sheria za nchi haziwatambui kama wahaini badala yake sheria zinazowabana ni laini kiasi kwamba hata hukumu zao zinawavutia kujinoa zaidi.
Je, kwanini watu Hawa wamejijengea hii confidence ya kialifu wakati zamani tulikuwa tunaviogopa na kuvihofia vyombo vyetu?
Lakini kwanini tunawatetea sana Hawa watu hatuoni tunawapa nguvu na kuwafanya wasiviheshimu vyombo vyetu? Huu usugu unaotengenezwa unatokana na msukumo wa kisiasa au wakuu wa vyombo wamepoteza wivu na vyombo hivi?