Matani

Huyo jamaa yuko wapi aisee?

Leo ndio nimeona hii thread ila jamaa ametisha aise, matani ya jamaa yote mapya ili hali wengine wanarudia yaliyokwishazoeleka.

Kiukweli nimecheka sana.
nikiona avatar yako nakumbuka muvi ya Blue Stuck kama sijakosea kwenye hiyo segment hapo polisi nilicheka hadi mbavu zikaniuma
 
nikiona avatar yako nakumbuka muvi ya Blue Stuck kama sijakosea kwenye hiyo segment hapo polisi nilicheka hadi mbavu zikaniuma
Blue streak.

Hapo jamaa alipeleka piza kituo cha Polisi ili asome ramani baadae aende naye kama Ofisa.
 
Jamani nilipokuwa mdogo hii ndo ilikuwa hobby yangu maana kwa umbo langu dogo sikuweza kupigana ila ukinikosea kidogo..nitakupa neno utakaa kimya mwenyewe!
Najikumbushia tu...(usinichukie...)

Unataka matani..
Nyani Ngabu, una bichwa kubwa mpaka shuleni ulikuwa unaitwa Headboy! twende twende..
Fidel80, wewe umekonda mpaka ukisimama kwenye ukuta unakaa kama crack...
Mzee Mwanakijiji demu wako amekonda mpaka akivaa t-shirt ya bluu anafanana na sim card ya tiGO..
Asprin unamashavu kama mimba ya panya..

Na wewe TUKUTUKU uso kama shamba la matuta...

Unataka unataka..

Mwangalie kwanza, wewe Bigirita yaani wewe ni mbaya mpaka hutumia lotion inayoitwa 'why bother!'..teh teh..

Zak wewe ni mweusi mpaka ukirushiwa jiwe linarudi kuomba tochi...
Watu8 wewe ni mshamba hadi mara ya kwanza kupanda daladala ulianza kutandika vitambaa kwenye siti.


PS: On a light touch...
Nadhani utakuwa unatamani moderator wafute huu uzi wako wa enzi zako ukiwa mtoto. hahahahah. miaka karibia tisa tangu ulivyo u post.
 

Similar Discussions

20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom