Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,432
- 105,845
Kakuweza..
Subiri miezi tisa iishe ndo utajua kama ni michemsho au mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri miezi tisa iishe ndo utajua kama ni michemsho au mtoto
nikiona avatar yako nakumbuka muvi ya Blue Stuck kama sijakosea kwenye hiyo segment hapo polisi nilicheka hadi mbavu zikaniumaHuyo jamaa yuko wapi aisee?
Leo ndio nimeona hii thread ila jamaa ametisha aise, matani ya jamaa yote mapya ili hali wengine wanarudia yaliyokwishazoeleka.
Kiukweli nimecheka sana.
Blue streak.nikiona avatar yako nakumbuka muvi ya Blue Stuck kama sijakosea kwenye hiyo segment hapo polisi nilicheka hadi mbavu zikaniuma
Naaaam hiyo hiyo nilichekavsana hapo aisee, kuna watu wanavipaji vya kutuchekesha sanaBlue streak.
Hapo jamaa alipeleka piza kituo cha Polisi ili asome ramani baadae aende naye kama Ofisa.
Huyo ndio Martin Lawrence.Naaaam hiyo hiyo nilichekavsana hapo aisee, kuna watu wanavipaji vya kutuchekesha sana
Kabisa aiseeeDa kitambo sana hii,kabla ya wakolomije
Nadhani utakuwa unatamani moderator wafute huu uzi wako wa enzi zako ukiwa mtoto. hahahahah. miaka karibia tisa tangu ulivyo u post.Jamani nilipokuwa mdogo hii ndo ilikuwa hobby yangu maana kwa umbo langu dogo sikuweza kupigana ila ukinikosea kidogo..nitakupa neno utakaa kimya mwenyewe!
Najikumbushia tu...(usinichukie...)
Unataka matani..
Nyani Ngabu, una bichwa kubwa mpaka shuleni ulikuwa unaitwa Headboy! twende twende..
Fidel80, wewe umekonda mpaka ukisimama kwenye ukuta unakaa kama crack...
Mzee Mwanakijiji demu wako amekonda mpaka akivaa t-shirt ya bluu anafanana na sim card ya tiGO..
Asprin unamashavu kama mimba ya panya..
Na wewe TUKUTUKU uso kama shamba la matuta...
Unataka unataka..
Mwangalie kwanza, wewe Bigirita yaani wewe ni mbaya mpaka hutumia lotion inayoitwa 'why bother!'..teh teh..
Zak wewe ni mweusi mpaka ukirushiwa jiwe linarudi kuomba tochi...
Watu8 wewe ni mshamba hadi mara ya kwanza kupanda daladala ulianza kutandika vitambaa kwenye siti.
PS: On a light touch...
Kwa hiyo hauna kazi tena?Jamani uache upumzike..it has served it's purpose!
Aah! Tulia wewe ...umetutesa sana... Muone sura kama nyuma ya sufuriaJamani uache upumzike..it has served it's purpose!