Mudhyd
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 492
- 507
Mnene mpaka ukivaa t-shirt nyekundu kwambali unaonekana kama kibanda cha m pesa
Umetishaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnene mpaka ukivaa t-shirt nyekundu kwambali unaonekana kama kibanda cha m pesa
Umetishaaah
Napita tuu, maana kuna wakuu wa nchi humu.
mweusi mpaka ukiingia kwenye gari linakuwa tinted
Sumba...unajisema nini..maana nakumbuka kipindi kile tu wadogo tunaishi majirani..basi namsikia mama yako akikulazimisha kula, ukikataa anakuambia, "Kula ama nikuletee kioo!!!!"
Nimeitafuta hii thread Hadi nimechoka ...at last naipata
Mwangalie kwanza..we ni mshamba mpaka mara ya kwanza kununuliwa malapa ulivaa kama begi!
Nimeitafuta hii thread Hadi nimechoka ...at last naipata
Kwenu mnanuka jasho hadi magufuli anaogopa kuja kuwatumbua majipu
Duh yaani umekomaa kiasi kwamba ukifumba macha yanalia kacha!! kama kamera