Matangazo ya Zanzibar Bwana utachoka mwenyewe!!

hahahahaa! this is nice one, yani kwao wao, moshi ndo problem, basi wafuta bhange hapo ndo panawafaa, kwa mana wanameza moshi wooote kabisa.
 
Electronic cigarettes hazitowi moshi:

images

electronic_cigarette_diagram.jpg
 
hahahahaa! this is nice one, yani kwao wao, moshi ndo problem, basi wafuta bhange hapo ndo panawafaa, kwa mana wanameza moshi wooote kabisa.

moshi ndiyo tatizo kwa kuwa unapouvuta hasa ule unaotoke puani kwa mvutaji, unakuwa na bakteria/virus ikiwa mvutaji ana infection yo yote kifuani. Ni bora kuvuta sigara direct kuliko kuvuta moshi unaotoka kwa mvutaji ambao umepita kwenye kifua ambacho kinaweza kuwa na infections au TB
 

na ukitaka kucheka zaidi hebu tupia jicho TVZ au TV zuzu yaani taarifa ya habari inasomwa na makame usi, repoter faki makame faki, eneo la tukio mwembe mchomeke, wilaya ya magharibi mkoa wa kusini unguja
 
na ukitaka kucheka zaidi hebu tupia jicho TVZ au TV zuzu yaani taarifa ya habari inasomwa na makame usi, repoter faki makame faki, eneo la tukio mwembe mchomeke, wilaya ya magharibi mkoa wa kusini unguja

Hapo penye red umeniacha hoi mkuu
 
wameathirika na lugha yao ya kipemba...hata kiingereza huwa wanachanganya hivyohivyo. international(inteneshino) wao husema internashonal'i), chemical(kemiko) wao husema Kemikal'i) yaani wanashika ile elo/L ya mwishoni hawaachii. professional (profesheno) wanasema profeshenal'i).
 
lakini cha maana ni kuelewa, ndo maana hata hapa bara kuna wamasai, wachagga, wahehe, wasukuma, wanyakyusa etc, wakianza kukisumbua kiswahili hadi utakionea huruma.

sasa kama hapo kwenye tangazo, anasema eneo hili "haliruhusiwi", yaani eneo ndo haliruhusiwi kama vile eneo ndo linatenda kitendo vile..sio watu wanaopita hapo ndo hawaruhusiwi, eneo ndio haliruhusiwi...hahaha,....
 
Hujakuta yale matangazo ya mtaani ambapo sentensi zimeunganishwa kutoa sentensi moja.
HAPATUNAUZASODANA MAJIBARIDI. huo ni fano, just visit mji mkongwe uchanike mbavu
 
moshi ndiyo tatizo kwa kuwa unapouvuta hasa ule unaotoke puani kwa mvutaji, unakuwa na bakteria/virus ikiwa mvutaji ana infection yo yote kifuani. Ni bora kuvuta sigara direct kuliko kuvuta moshi unaotoka kwa mvutaji ambao umepita kwenye kifua ambacho kinaweza kuwa na infections au TB

Mkuu nakushukuru kwa hili, lakini waswahili tulivyojeuri ukimwambia mtu avutie mbali hawaelewi bana sijui tufanyeje!
 
Hapa leo nimecheka kweli wakuu...kuna mtaa eti unaitwa mwembe mchomeke..:eek:....kunatendaka nini hapo wajameni?

Gaadeem wazenji wangu leo mumeliwa!

Kibunango yuko wapi aje kutetea huu wazimu!
 
Yaani nyinyi wabara ambao mumejifunza kiswahili huko munakoita shuleni, ndiyo mumekuwa wabora kwa kiswahili kuliko wenyewe wenye lugha!

Ama kweli dunia imekwenda songombingo, kha!

Nina hakika hata hamujui maana ya hiyo mwembe mchomeke mutabaki kucheka tu.
 
Back
Top Bottom