Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,821
Sijui hili limekaaje?
Utasikia Ndugu Deshideshi wa Sehemu fulani, anasikitika kutangaza kifo cha Pangalashaba kilichotokea kwenye Hospitali Kali, mipango ya mazishi inafanywa.
(Mwanzo wa Mbwembwe Hapo):
Habari zimfikie rafiki wa marehemu aliyeko Canada,
Mtoto mkubwa wa marehemu aliyeko Uingereza,
Sijui nani yule aliyeko Ulaya nyingine, na kadhalika.
Je una uhakika hiyo redio unayotangazia msiba wako inafika kote huko?
Kwanini tunapiga sana mikwala wasikilizaji wa matangazo ya vifo?
Tubadilike kidogo tu na tuishi maisha yetu halisi.
Utasikia Ndugu Deshideshi wa Sehemu fulani, anasikitika kutangaza kifo cha Pangalashaba kilichotokea kwenye Hospitali Kali, mipango ya mazishi inafanywa.
(Mwanzo wa Mbwembwe Hapo):
Habari zimfikie rafiki wa marehemu aliyeko Canada,
Mtoto mkubwa wa marehemu aliyeko Uingereza,
Sijui nani yule aliyeko Ulaya nyingine, na kadhalika.
Je una uhakika hiyo redio unayotangazia msiba wako inafika kote huko?
Kwanini tunapiga sana mikwala wasikilizaji wa matangazo ya vifo?
Tubadilike kidogo tu na tuishi maisha yetu halisi.