Hata mimi nilimsikia ofisa wao mmoja (Mr. Mungi kama sikosei) alisema hivyo.
Ila mimi nina king'amuzi cha Easy TV, usipolipa huoni chanell zote !! Hata ITV houni !!
Hapo ndipo nilipokwama mimi. Sijui kwa Startimes wanakuwaje pale sasio linapokwisha kwenye king'amizi.
mie ninacho cha star times, salio likiisha TBC inabaki lakini zingine zote hakuna kabisa, na cha ajabu wanatuambia local channel kama ITV,CHANNEL TEN,STAR TV,EA TV zitaonekana mbona hadi sasa hakuna au muda bado?