kkarumekenge
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 1,708
- 1,026
Jana (Desemba 9,2013) televisheni yenu, TBC ilitoa mpya.
1. Kwanza kama watangazaji hawakujiandaa basi hawajui lolote kuhusu historia ya Uhuru wa Tanganyika. Kulikuwa na makosa yaliyotokana na kutokujua walichokuwa wakisema mengi na ya ajabu. Bila haka watangazaji hao ni matunda ya elimu ya Mungai.
2. Itakumbukwa kwamba TBC hiyo hiyo iliwai kuzusha janga la kutangaza ati Wakristo ni wengi kuliko Waislamu. Ikaomba radhi. Jana, katika kile kicahoonekana ni kutaka kuwafurahisha Waislamu ilikuja na mpya. Kwa mara ya kwanza TBC iliwatambua ndugu wawili, Abdul Wahid Sykes na Ally Sykes katika harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika. Ati hapo walikuwa wanataka kuwafurahisha Waisamu. Ovyo kabisa na aibu kwao.
3. Kama kwamba haikutosha ikatangazwa kwamba wamissionari wa Kikatoliki ndio walimpa tiketi Nyerere kwenda UNO. Ovyo kabisa, yote ikiwa ni kuhangaika kutaka kubalance utumbo wao.
Yote haya ya nini?
1. Kwanza kama watangazaji hawakujiandaa basi hawajui lolote kuhusu historia ya Uhuru wa Tanganyika. Kulikuwa na makosa yaliyotokana na kutokujua walichokuwa wakisema mengi na ya ajabu. Bila haka watangazaji hao ni matunda ya elimu ya Mungai.
2. Itakumbukwa kwamba TBC hiyo hiyo iliwai kuzusha janga la kutangaza ati Wakristo ni wengi kuliko Waislamu. Ikaomba radhi. Jana, katika kile kicahoonekana ni kutaka kuwafurahisha Waislamu ilikuja na mpya. Kwa mara ya kwanza TBC iliwatambua ndugu wawili, Abdul Wahid Sykes na Ally Sykes katika harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika. Ati hapo walikuwa wanataka kuwafurahisha Waisamu. Ovyo kabisa na aibu kwao.
3. Kama kwamba haikutosha ikatangazwa kwamba wamissionari wa Kikatoliki ndio walimpa tiketi Nyerere kwenda UNO. Ovyo kabisa, yote ikiwa ni kuhangaika kutaka kubalance utumbo wao.
Yote haya ya nini?