Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 213
- 1,726
Wengi mtakuwa mmekutana na matangazo ya Kampuni hii inayomtumia mwanamke/binti akichezea ‘rungu’ la gari lakini matangazo haya yanayosambaa katika mitandao ya kijamii yakiendelea kushika kasi.
Si matangazo hayo tu, matangazo yao mengi yamekuwa na mwelekeo flani kwa kutumia mabinti (ambao huenda nao wanatafuta kula yao) lakini mwenye kuandaa matangazo haya anaelewa anacholenga kwa jamii ya Kitanzania.
Mchelea mwana hulia mwenyewe! Tusishangae huko mbele matokeo ya matangazo haya yakiwa too obvious na tukawa tumechelewa.
Mamlaka zichukue hatua mapema
Si matangazo hayo tu, matangazo yao mengi yamekuwa na mwelekeo flani kwa kutumia mabinti (ambao huenda nao wanatafuta kula yao) lakini mwenye kuandaa matangazo haya anaelewa anacholenga kwa jamii ya Kitanzania.
Mchelea mwana hulia mwenyewe! Tusishangae huko mbele matokeo ya matangazo haya yakiwa too obvious na tukawa tumechelewa.
Mamlaka zichukue hatua mapema