53930
Member
- Jan 20, 2011
- 65
- 21
Makampuni ya simu za mkononi yanatabia ya kutuma matangazo yao kwenye simu za wateja. Sio watu wote wenye simu wanapenda miito ya simu au hudumafulani wanazotangaza kupitia sms na kuingia kwenye simu za wateja. Binafsi zinanikera sana hizi sms kwani hawanilipi chochote kwa promo zao nikujaza nafasi kwenye simu tu. Matangazo yao wapeleke kwenye radio, tv, magazeti, mitandao ya kijamii, mbao za matangazo nk. Ni kero kwani hapiti siku bila kutumia sms promo ambazo zihitaji.