Matangazo ya dawa za nguvu za kiume mitaani na hata katika mitandao ya kijamii yamepungua

South

JF-Expert Member
Jan 11, 2016
3,514
5,137
Habari zenu jamani, kwa muda mrefu nimekua nikiona thread zinazohusiana na hizo dawa hata mabango ya waganga na wanavyojitangaza kwamba wanatibu tatizo hili maarufu. Lakini siku zinavyozidi kwenda matangazo haya yamezidi kupungua, je hili tatizo limeisha kwa wahusika au hawa watoa tiba ni matapeli? Vipi kina dada saiv mnapewa doz kamili hakuna kimoja tena?
 
Usawa huu wa Magu watu hawawazi sana sex coz mifuko myeupe no hela ya kuhonga no hela ya kumpa mganga wala kununua dawa, saiz watu wanasex kwa afya tu so wanaweza kwenda round nyingi coz wanakidemu kimoja au viwili tu sio kipindi kile mademu kibao, lazima nguvu zikuishe.

Halaf sikuiz si unajua kila kitu dai risiti so ukibandika kitangazo chako kwenye nguzo ya umeme TRA wanachukua zile contact, utashangaa wanapiga ka wateja unawaelekeza hadi ulipo then wanakujia wanakwambia uwape kodi ya kubandika tangazo
 
Usawa huu wa Magu watu hawawazi sana sex coz mifuko myeupe no hela ya kuhonga no hela ya kumpa mganga wala kununua dawa, saiz watu wanasex kwa afya tu so wanaweza kwenda round nyingi coz wanakidemu kimoja au viwili tu sio kipindi kile mademu kibao, lazima nguvu zikuishe.

Halaf sikuiz si unajua kila kitu dai risiti so ukibandika kitangazo chako kwenye nguzo ya umeme TRA wanachukua zile contact, utashangaa wanapiga ka wateja unawaelekeza hadi ulipo then wanakujia wanakwambia uwape kodi ya kubandika tangazo
Kabisa
 
Usawa huu wa Magu watu hawawazi sana sex coz mifuko myeupe no hela ya kuhonga no hela ya kumpa mganga wala kununua dawa, saiz watu wanasex kwa afya tu so wanaweza kwenda round nyingi coz wanakidemu kimoja au viwili tu sio kipindi kile mademu kibao, lazima nguvu zikuishe.

Halaf sikuiz si unajua kila kitu dai risiti so ukibandika kitangazo chako kwenye nguzo ya umeme TRA wanachukua zile contact, utashangaa wanapiga ka wateja unawaelekeza hadi ulipo then wanakujia wanakwambia uwape kodi ya kubandika tangazo
usawa umebana kotekote aise
 
hhahahahhahah uchumi umesababisha na michepuko kupungua, so na matumizi nayo yamepungua, watu wako njia kuu ambako hawaonyeshi sana ufundi kama kule chochoroni kwa le masupa bebez!!
 
Mje muwachukue,aisee wamehamia huku Zanzibar kwenye vyombo vya Habari,aisee redio zoote zimevamiwa na watu kutoka huko Mainland.Maana kina Ngosha wengine wapo huku eti waganga aisee.
Na unajua Zanzibar redio zote kutangaza ni rahisi saana,bei chee hata mama lishe anaweza kutangaza kwenye redio za huku.

Halafu tatzio ni kwamba hili tatizo hakuna,watu wana tension tu za maisha.We kama unataka kujua hilo subiri mwenye nyumba akudai kodi au kodi ikaribia muda wa kulipa uone kama utakuwa na ham ya dem.Ila ukiwa na hela na hauna mashaka mengi basi mambo yanakuwa mwake.

Waliishaibia watu saaaana
 
Mje muwachukue,aisee wamehamia huku Zanzibar kwenye vyombo vya Habari,aisee redio zoote zimevamiwa na watu kutoka huko Mainland.Maana kina Ngosha wengine wapo huku eti waganga aisee.
Na unajua Zanzibar redio zote kutangaza ni rahisi saana,bei chee hata mama lishe anaweza kutangaza kwenye redio za huku.

Halafu tatzio ni kwamba hili tatizo hakuna,watu wana tension tu za maisha.We kama unataka kujua hilo subiri mwenye nyumba akudai kodi au kodi ikaribia muda wa kulipa uone kama utakuwa na ham ya dem.Ila ukiwa na hela na hauna mashaka mengi basi mambo yanakuwa mwake.

Waliishaibia watu saaaana
Huenda pesa ndo inachangia hili tatizo
 
hhahahahhahah uchumi umesababisha na michepuko kupungua, so na matumizi nayo yamepungua, watu wako njia kuu ambako hawaonyeshi sana ufundi kama kule chochoroni kwa le masupa bebez!!
Shikamoo pesa teh teh
 
Back
Top Bottom