mr vata
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 462
- 605
Wakuu,
Hili suala linatafakarisha sana. Ni kweli Watanzania (wanaume) tuna matatizo ya nguvu za kiume kwa kiwango hiki cha wingi wa matangazo ya dawa?
Na ni kweli tuna size ndogo za uume kiasi hicho? Maana ukiangalia wingi wa matangazo inaonyesha tatizo ni kubwa sana. Sasa nini chanzo cha hili tatizo? Na nini maoni yako kwa katika hili?
Je, wanawake wao sio chanzo cha hili tatizo kwa wanaume? Maana nijuavyo mimi ukubwa au ukubwa wa mguu unategemea na kiatu unachokivaa.
Nini maoni yako?
Tiririka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili suala linatafakarisha sana. Ni kweli Watanzania (wanaume) tuna matatizo ya nguvu za kiume kwa kiwango hiki cha wingi wa matangazo ya dawa?
Na ni kweli tuna size ndogo za uume kiasi hicho? Maana ukiangalia wingi wa matangazo inaonyesha tatizo ni kubwa sana. Sasa nini chanzo cha hili tatizo? Na nini maoni yako kwa katika hili?
Je, wanawake wao sio chanzo cha hili tatizo kwa wanaume? Maana nijuavyo mimi ukubwa au ukubwa wa mguu unategemea na kiatu unachokivaa.
Nini maoni yako?
Tiririka.
Sent using Jamii Forums mobile app